Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akichukua tutatoa SIRI zake zote Chafu.Uongozi wa Rais wa sasa Karia umekuwa na mapungufu mengi sana katika soka la Tanzania hivyo ninakuomba Mhe. A. Tarimba uchukue fomu ya Urais ili uokoe jahazi hili la TFF linaloenda kuzama.
Na wewe Karia acha watu wawe huru kugombea bhana! Kwani hiyo TFF ni mali ya babu yako wa kule Mogadishu?Tarimba umefunga Uzi kujipigia debe hatukutaki na mbona huridhiki kila kitu unataka wewe bana!
Utawapata wasiifikiria tu. Ulikuwepo Yanga mbona hukufanya la maana mpaka leo wanaganga njaa tu!
Tunaenda na Karia, kaleta mafanikio lukuki kwenye mpira wetu ngazi ya club na timu za taifa
Yupo na Mganga wa DR Congo shauri zenu.Akichukua tutatoa SIRI zake zote Chafu.
Kajisumbua tuView attachment 1814622
WATU WA KUBETI HAWARUHUSIWI KUONGOZA MPIRA
Hii ni kwa mujibu wa kanuni za maadili za Shirikisho la soka duniani FIFA, ibara ya 26.
Kiongozi wa mpira akichunguzwa na kubainika kujihusisha na kubeti moja kwa moja au siyo moja kwa moja, atapigwa faini ya faranga za Uswisi 100,000 na kufungiwa miaka mitatu kujihusisha na soka.
Wachezaji, waamuzi, viongozi, mawakala wa wachezaji
na mawakala wa mechi.
Ni ngumu kumtoa Karia ,ameshaweka mizizi ,waliochukua fomu wote wanalalamika kukosa udhamini mikoani kwa sababu kila sehemu wanayofika wanaambia tumeshamdhamini Karia na mdhamini mmoja hawezi kudhamini mara mbili ,Sasa imagine Karia kachukua fomu majuzi Jana lakini waliochukua kabla wamekosa wadhaminiKajisumbua tu
Na hii haipo Tanzania tu hata ukienda FIFA au caf kote ni hivyo hivyoNi ngumu kumtoa Karia ,ameshaweka mizizi ,waliochukua fomu wote wanalalamika kukosa udhamini mikoani kwa sababu kila sehemu wanayofika wanaambia tumeshamdhamini Karia na mdhamini mmoja hawezi kudhamini mara mbili ,Sasa imagine Karia kachukua fomu majuzi Jana lakini waliochukua kabla wamekosa wadhamini
KishachukuaAkichukua tutatoa SIRI zake zote Chafu.
Anataka Kuuza Cocaine kwa Wachezaji?Kishachukua
Mkuu jamaa kachukua, ndo muda sasa zitoe fastaAkichukua tutatoa SIRI zake zote Chafu.