Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Hapana sio yangu ila naonaga urahisi wakupakua tofauti na mkito ambao nyimbo nyingi zina matangazoyinga media ni yako unaipromote sio....
anha nimekuelewa...nami ntaanza kuitumia.Hapana sio yangu ila naonaga urahisi wakupakua tofauti na mkito ambao nyimbo nyingi zina matangazo
Ushawahi kusifia hata Siku moja tofauti na wcbWimbo ni mbaya sana yaan mbaya bora hata kidogo king kiba kaimba vizuri ila huyo abby skillz n lisauti lake kaharibu n mr blue utasema alilazimishwa
Mie shabiki wa kiba damu! Napenda kusema ukweli, sipendi kumdanganya kwani hatoimprove kwa kudanganywa!!!King Kiba ana jina kubwa sasa, aache kushiriki hivi vikolabo vya kijinga jinga.. Nyimbo mbaya kupita maelezo!! Inamshushia hadhi yake..
Beat na melody za kizamani walizo kuwa wananyonga akina Shirko mwaka 2007, yeye Abby daddy ndio anajifunza leo kutengeneza!
Kiba HAWEZI KUKATAA KOLABO NA HAO WASANII,KWASABABU KWANZA WANACHOKIFANYA HAO WAOMBA KOLABO NI KUJIFANYA WANAMPONDA YULE WA UPANDE WA PILI HALAFU WANAMSIFIA YEYE NA KIBA AKISHAONA HIVO NDIO ANAPENDA.Mie shabiki wa kiba damu! Napenda kusema ukweli, sipendi kumdanganya kwani hatoimprove kwa kudanganywa!!!
Kiba Ameimba vizuri kwenye huu wimbo, Sana,, lakini huyu Abby skillz inabidi afanye analysis kwa mda Kidogo,hii itamsaidia kujua kuwa soko la mziki limefika Wapi kwa sasa,,mwanzoni mwa wimbo kaimba kizamani Kidogo, na saut yake imetengenezwa
Kuhusu alikiba kukataa collabo ni ngumu kidogo,na hii italeta Picha mbaya kwa Jamii, japo Nami natamani afanye collabo na watu ambao wako updated na mziki wa sasa Hatakama wakiwa underground!!,ilimradi huyo underground awe anajua muelekeo wa mziki kwa wakati huu,!Wamejitahidi na utauzika vizuri kwa sababu ya mashairi yake.