Pre GE2025 Abdul amefanikiwa kwa asilimia 80 kuipasua chadema

Pre GE2025 Abdul amefanikiwa kwa asilimia 80 kuipasua chadema

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Abdul aliona mama yake anakosolewa vikali na upinzani ameamua naye kuingia kwenye michezo michafu mbaya Sana zaidi hata ya Hayati Magufuli kuipasua CHADEMA

Hadi sasa amefanikiwa kuivuruga chadema vipande viwili.

Kwa kutupa shilingia ndani ya chama hiki kikongwe cha upinzani sasa hv viongozi wake wanarushiana maneno na kutuhumiana kupokea shilingi kutoka kwa abduli.

Yaani sas hivi ukitaja jina La Abduli mbele ya viongozi wa CHADEMA wanaweza kukuuwa kabisa

Dogo abduli ana siasa kali sna ya kuingia na kisha kuwa furuga viongoz na wanachama wake sass hv hajulikani nani mkweli nani muongo kwan hata lisu nae angesadiwa na abduli pesa zake bas na yey angekuwa han la kusema ktk hiz tuhuma

Heka heka hz anazo fanya abduli hakuna msemaji wa famili yao wametoka hadharani kukanusha ama kutolea ufafanuzi baadhi ya hoja za chadema hasa za lisu kusema kuwa abduli amemwaga fedha chafu chadema hahahhahahah😂😂😂 maana yake ni kwamba familia ya rais inajuwa fika nn kinacho endelea

Abduli wee ni kijana muungwana sna mm nimependa sana siasa zako za kulinda kaz ya mama ako apite bila vikwazo sas kaz hii hamisha kwa wana ccm wanao taka kuchukuwa fomu kuchuana na mam ako

Nikupongeze sna kijana " WEE NI KIJAN MUUNGWAN SNA"


0767087708
Abduli kama kuna jambo njoo pm au nipigie.

Kwa sasa safarin kuelekeaa Mabibo DSM
 
Abdul aliona mama yake anakosolewa vikali na upinzani ameamua naye kuingia kwenye michezo michafu mbaya Sana zaidi hata ya Hayati Magufuli kuipasua CHADEMA

Hadi sasa amefanikiwa kuivuruga chadema vipande viwili.

Kwa kutupa shilingia ndani ya chama hiki kikongwe cha upinzani sasa hv viongozi wake wanarushiana maneno na kutuhumiana kupokea shilingi kutoka kwa abduli.

Yaani sas hivi ukitaja jina La Abduli mbele ya viongozi wa CHADEMA wanaweza kukuuwa kabisa

Dogo abduli ana siasa kali sna ya kuingia na kisha kuwa furuga viongoz na wanachama wake sass hv hajulikani nani mkweli nani muongo kwan hata lisu nae angesadiwa na abduli pesa zake bas na yey angekuwa han la kusema ktk hiz tuhuma

Heka heka hz anazo fanya abduli hakuna msemaji wa famili yao wametoka hadharani kukanusha ama kutolea ufafanuzi baadhi ya hoja za chadema hasa za lisu kusema kuwa abduli amemwaga fedha chafu chadema hahahhahahah😂😂😂 maana yake ni kwamba familia ya rais inajuwa fika nn kinacho endelea

Abduli wee ni kijana muungwana sna mm nimependa sana siasa zako za kulinda kaz ya mama ako apite bila vikwazo sas kaz hii hamisha kwa wana ccm wanao taka kuchukuwa fomu kuchuana na mam ako

Nikupongeze sna kijana " WEE NI KIJAN MUUNGWAN SNA"


0767087708
Abduli kama kuna jambo njoo pm au nipigie.

Kwa sasa safarin kuelekeaa Mabibo DSM

Atasingiziwa Dana Abduli lakini mchawi ni huyu hapa:

Gf8b-vhawAEan-I.jpeg
 
Back
Top Bottom