Abdul Massoud, mtangaji wa Redio Tanzania miaka ya 80 aliuawa kwa sababu gani?

Abdul Massoud, mtangaji wa Redio Tanzania miaka ya 80 aliuawa kwa sababu gani?

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,697
Ni nani walimuua Abdul Massoud yule mtangazaji wa RTD kipindi cha michezo miaka ya 80? Nasikia wauaji wake walimfuata nyumbani kwake wakampiga risasi bila kuchukua kitu chochote, aliuliwa kwa kisa gani kama mdau anafahamu the motive behind his execution anijuze.

Haya wakongwe tunakuja.

Abdul Masoudi alikuwa mtangazaji wa redio Tanzania na katibu mwenezi wa Yanga. Wakati huo mfadhili mkuu wa Yanga alikuwa mhindi fulani aliyekuwa akimiliki kampuni ya sabuni ya Bobby Soap wakati huo.

Leo hii sikumbuki tena jina la mhindi mwenyewe, ila ili kuiiimarisha Yanga au kujiimarisha mwenyewe ndani ya Yanga, alimfanya Abdul Masoud kuwa pia meneja masoko wa kiwanda hicho cha Bobby Soap ingawa sina kumbukumbu sahihi ya cheo chake leo.

Sasa katika utendaji wake wa umeneja wa Bobby soap, tuliambiwa kuwa kulikuwa na dili ya mali gafi mafuta ya nazi ambayo yaliuzwa Bobby Soap na wajasilimali nje ya channels za kawaida za Bobby Soap na malipo yake yangechukuliwa na Abdul halafu akawagawie wale wajasiliamali wake.

Unfortunately, ilionekana kuwa baada ya mafuta ya nazi kuwa delivered pale Bobby soap, pesa hazikuwarudia wajasiliamalai walioleta mafuta yale ingawa accounting iliyonyesha kuwa mali ghafi zote zilikuwa zimelipiwa.

Hiyo ndiyo ikasababisha fate ya Abdul Masoud. Gunmen walimuua yeye tu, wala hawakumgusa ndugu yeyote ndani ya familia yake na wala hawakuchukua kitu chochote kutoka nyumbani kwake pale Temeke.

Sijui kama hii imekusaidia
 
Huyu alikuwa akifanya kazi kwa wahindi pale Keko,akiwa kama ofisa uhusiano,pale kulikuwa na biashara kama za kuuza magari kwa njia ya uchochoro,inaelekea walidhulumiana au aliwazika jamaa,wale jamaa walimkuta akifuturu wakamwasha risasi na kuondoka r.i.p
 
Haya wakongwe tunakuja.

Abdul Masoudi alikuwa mtangazaji wa redio Tanzania na katibu mwenezi wa Yanga. Wakati huo mfadhili mkuu wa Yanga alikuwa mhindi fulani aliyekuwa akimiliki kampuni ya sabuni ya Bobby Soap wakati huo.

Leo hii sikumbuki tena jina la mhindi mwenyewe, ila ili kuiiimarisha Yanga au kujiimarisha mwenyewe ndani ya Yanga, alimfanya Abdul Masoud kuwa pia meneja masoko wa kiwanda hicho cha Bobby Soap ingawa sina kumbukumbu sahihi ya cheo chake leo.

Sasa katika utendaji wake wa umeneja wa Bobby soap, tuliambiwa kuwa kulikuwa na dili ya mali gafi mafuta ya nazi ambayo yaliuzwa Bobby Soap na wajasilimali nje ya channels za kawaida za Bobby Soap na malipo yake yangechukuliwa na Abdul halafu akawagawie wale wajasiliamali wake.

Unfortunately, ilionekana kuwa baada ya mafuta ya nazi kuwa delivered pale Bobby soap, pesa hazikuwarudia wajasiliamalai walioleta mafuta yale ingawa accounting iliyonyesha kuwa mali ghafi zote zilikuwa zimelipiwa.

Hiyo ndiyo ikasababisha fate ya Abdul Masoud. Gunmen walimuua yeye tu, wala hawakumgusa ndugu yeyote ndani ya familia yake na wala hawakuchukua kitu chochote kutoka nyumbani kwake pale Temeke.

Sijui kama hii imekusaidia
 
kweli tuliocherewa kuzaliwa tumekosa mengi . dah!
 
Historia Sio Kuchelewa Kuzaliwa Historia Ni Kuifuatailia Tu, Mfano Kama Unavyojua Kwamba Rais Wa Kwanza Alikuwe Nyerere Lakini Hatuwepo Wakat Wa Utawala Wake.
 
Ni nani walimuwa Abdul Massoud yule mtangazaji wa RTD kipindi cha michezo miaka ya 80, nasikia wauwaji wake walimfuata nyumbani kwake wakampiga risasi bila kuchukua kitu chochote, aliuliwa kwa kisa gani kama mdau anafahamu the motive behind his execution anijuze.

Cc to mohamed Said
 
Last edited by a moderator:
Haya wakongwe tunakuja.

Abdul Masoudi alikuwa mtangazaji wa redio Tanzania na katibu mwenezi wa Yanga. Wakati huo mfadhili mkuu wa Yanga alikuwa mhindi fulani aliyekuwa akimiliki kampuni ya sabuni ya Bobby Soap wakati huo.

Leo hii sikumbuki tena jina la mhindi mwenyewe, ila ili kuiiimarisha Yanga au kujiimarisha mwenyewe ndani ya Yanga, alimfanya Abdul Masoud kuwa pia meneja masoko wa kiwanda hicho cha Bobby Soap ingawa sina kumbukumbu sahihi ya cheo chake leo.

Sasa katika utendaji wake wa umeneja wa Bobby soap, tuliambiwa kuwa kulikuwa na dili ya mali gafi mafuta ya nazi ambayo yaliuzwa Bobby Soap na wajasilimali nje ya channels za kawaida za Bobby Soap na malipo yake yangechukuliwa na Abdul halafu akawagawie wale wajasiliamali wake.

Unfortunately, ilionekana kuwa baada ya mafuta ya nazi kuwa delivered pale Bobby soap, pesa hazikuwarudia wajasiliamalai walioleta mafuta yale ingawa accounting iliyonyesha kuwa mali ghafi zote zilikuwa zimelipiwa.

Hiyo ndiyo ikasababisha fate ya Abdul Masoud. Gunmen walimuua yeye tu, wala hawakumgusa ndugu yeyote ndani ya familia yake na wala hawakuchukua kitu chochote kutoka nyumbani kwake pale Temeke.

Sijui kama hii imekusaidia

Mhindi anaitwa Mohammed Viran aka babu
 
Mohamed Virani ndie aliyekuwa mmiliki wa Bobby soap pia mfadhili wa Yanga.
 
itakuwa mfuko kristo ndo ulimuua. maana alikuwa islam tena wa suni

cc. faiza, ritz1, Mohammed Said
 
Back
Top Bottom