Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa, Abdul Nondo, ameibua hoja muhimu kuhusu changamoto za maendeleo vijijini wakati wa kampeni za kuwanadi wagombea wa chama hicho katika kijiji cha Mwali, kata ya Nyachenda, jimbo la Kasulu Vijijini mkoani Kigoma.
Soma Pia: Kigoma: Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Vijana ACT Wazalendo ajiandikisha kwenye daftari la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Akizungumza mbele ya wakazi wa kijiji hicho, Nondo alisisitiza dhamira ya ACT Wazalendo ya kuhakikisha maendeleo ya kweli yanafikiwa kwa kushirikiana na wananchi.
Alisema:
“Chama chetu cha ACT Wazalendo siyo chama cha kuleta wagombea na kisha kukimbia tukishashinda, inasikitisha kuona kijiji cha Mwali kinakosa soko bidhaa zikiuziwa chini, licha ya kuwa na rasilimali nyingi kwenye hiki kijiji.”
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa, Abdul Nondo, ameibua hoja muhimu kuhusu changamoto za maendeleo vijijini wakati wa kampeni za kuwanadi wagombea wa chama hicho katika kijiji cha Mwali, kata ya Nyachenda, jimbo la Kasulu Vijijini mkoani Kigoma.
Soma Pia: Kigoma: Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Vijana ACT Wazalendo ajiandikisha kwenye daftari la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Akizungumza mbele ya wakazi wa kijiji hicho, Nondo alisisitiza dhamira ya ACT Wazalendo ya kuhakikisha maendeleo ya kweli yanafikiwa kwa kushirikiana na wananchi.
Alisema:
“Chama chetu cha ACT Wazalendo siyo chama cha kuleta wagombea na kisha kukimbia tukishashinda, inasikitisha kuona kijiji cha Mwali kinakosa soko bidhaa zikiuziwa chini, licha ya kuwa na rasilimali nyingi kwenye hiki kijiji.”