the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Mwenyekiti wa ngome ya vijana akizungumza na waandishi wa habari leo January 9,2025 amesema kuwa
“Naomba niwaambie watanzania suala la ulinzi na usalama ni jambo ambalo tunapaswa tuungane kwa pamoja kupaza sauti zetu kupinga kukemea haya matendo. Na wala tusiseme kwamba haya matukio yanatokea kwa wakosoaji, viongozi wa vyama, wanaharakati kwamba wewe ambaye si mwanaharakati kwamba upo salama.”
“Kwamba wewe uko ndani ya chama cha mapinduzi unajiona uko salama tunajidanganya sana namna matukio haya yalipofikia sasa hivi sio ya vyama tena yameshavuka mpaka. Tarimo(mfanyabiashara Deogratius Tarimo) hajihusishi kabisa na siasa katekwa, umeona Dunstan hajihusishi kabisa na masuala ya kisiasa katekwa kwa hiyo tunapoendelea kukaa kimya tunazidi kuyalea haya matukio yaendelee kutokea.”
“Naomba niwaambie watanzania suala la ulinzi na usalama ni jambo ambalo tunapaswa tuungane kwa pamoja kupaza sauti zetu kupinga kukemea haya matendo. Na wala tusiseme kwamba haya matukio yanatokea kwa wakosoaji, viongozi wa vyama, wanaharakati kwamba wewe ambaye si mwanaharakati kwamba upo salama.”
“Kwamba wewe uko ndani ya chama cha mapinduzi unajiona uko salama tunajidanganya sana namna matukio haya yalipofikia sasa hivi sio ya vyama tena yameshavuka mpaka. Tarimo(mfanyabiashara Deogratius Tarimo) hajihusishi kabisa na siasa katekwa, umeona Dunstan hajihusishi kabisa na masuala ya kisiasa katekwa kwa hiyo tunapoendelea kukaa kimya tunazidi kuyalea haya matukio yaendelee kutokea.”