Abdulrahman Kinana uso kwa uso na Balozi wa Marekani nchini

Abdulrahman Kinana uso kwa uso na Balozi wa Marekani nchini

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amekutana na Kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa Nchini Tanzania Mhe. Michael Battle, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, leo Machi 14, 2023.

Wamejadili masuala mbalimbali kuhusu ushirikiano na umoja kati ya Marekani na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na mengine mengi.


FB_IMG_1678812933891.jpg
 
Ushoga Utakuwa kipao mbele na ccm wamekubali bila shaka Maana hakuna kelele kutoka kwa viongozi
 
10 Mar2023
In an exclusive interview with The Citizen, the new US ambassador to Tanzania, Michael Battle Sr, sheds light on US-Tanzania economic, political, and social ties. He also addresses concerns on security alerts and the Ukraine war



Source : mwananchi digital

More info :

Michael Battle had a distinguished career of public service spanning four decades. He was a leader as a diplomat, in academia, in the faith community and as a military chaplain. Dr. Battle was Executive Vice President/Provost at the National Underground Railroad Freedom Center in Cincinnati, Ohio, 2015–2016. Prior to that he served as the Senior Advisor to the Bureau of African Affairs, U.S. Department of State for the U.S. Africa Leader’s Summit in 2014, and before that he was the United States Representative to the United Nations Economic Commission for Africa and the United States Ambassador to the African Union in Addis Ababa, Ethiopia. His demonstrated record of leadership and his considerable experience as a diplomat and with African affairs makes him a well-qualified candidate to serve as U.S. Ambassador to the Republic of Tanzania.

Earlier in his career Dr. Battle was the President of the Interdenominational Theological Center in Atlanta, Georgia and was chair of The Robert W. Woodruff Library of The Atlanta University. He served as Vice President at Chicago State University from 1998-2003, Associate Vice President at Virginia State University from 1996-1998, and University Chaplain at Hampton University from 1976-1996. He was Vice President of the American Committee on Africa from 1994-1998 and participated as an Election Observer in 1994 for the first Free Election in South Africa. Additionally, he served for 20 years as a Chaplain in the United States Army Reserve, retiring with the rank of Lieutenant Colonel in 1997.

Dr. Battle received a Bachelor of Arts degree from Trinity College, a Master of Divinity degree from Duke University, and a Doctor of Ministry degree from Howard University. Source : https://www.state.gov/battle-michael-united-republic-of-tanzania-september-2021
 
CCM NDO SERIKALI na ukipambana nayo jua unapambana na serikali. Ni ukweli mchachu huu
 
CCM NDO SERIKALI na ukipambana nayo jua unapambana na serikali. Ni ukweli mchachu huu
Huu ni ushamba uliobakia vichwani mwa wahafidhina wa CCM. Serikali ya Tanzania ni mali ya watanzania wala si mali ya CCM.

Siku huyo Balozi akikutana na Vingozi wa CHADEMA msije kusema kuwa mabeberu wanaingilia siasa za Tanzania!!
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amekutana na Kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa Nchini Tanzania Mhe. Michael Battle, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, leo Machi 14, 2023.

Wamejadili masuala mbalimbali kuhusu ushirikiano na umoja kati ya Marekani na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na mengine mengi.


View attachment 2551244
Kinna anajua ki-malkia? johnthebaptist
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amekutana na Kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa Nchini Tanzania Mhe. Michael Battle, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, leo Machi 14, 2023.

Wamejadili masuala mbalimbali kuhusu ushirikiano na umoja kati ya Marekani na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na mengine mengi.


View attachment 2551244
serikali ya marekani na ulaya hazilazimishi ushoga bro,wao wanasema hawaingilii masuala ya kibinafsi ya mtu binafsi
 
Back
Top Bottom