Wakuu,
Naomba mwenye ufahamu anijulishe Marehemu Abeid Amani Karume (04/08/1920 - 07/05/1972) alikuwa ana msimamo gani juu ya Muungano wa Tanganyika? Kuna maandiko yake yoyote juu ya mawazo, filosofia na msimamo juu ya muungano huo toka kwake moja kwa moja ama toka kwa waandishi walio muwakilisha.
Natanguliza shukrani.
Naomba mwenye ufahamu anijulishe Marehemu Abeid Amani Karume (04/08/1920 - 07/05/1972) alikuwa ana msimamo gani juu ya Muungano wa Tanganyika? Kuna maandiko yake yoyote juu ya mawazo, filosofia na msimamo juu ya muungano huo toka kwake moja kwa moja ama toka kwa waandishi walio muwakilisha.
Natanguliza shukrani.