TANZIA Abeli Motika (Mr. EBBO) Afariki Dunia

Tangazo hili ni kwa manufaa ya nani? Ni hulka ya chama kipi?
 
Jamani au kwa sababu Ebo alikuwa maarufu mbona Lema hakuja kifo cha mama yangu hapa hapa Arusha...... siasa bana zinabagua sijui kwa maslahi ya nani. kila jambo linabebwa kulingana na litakavyosaidia siasa.

Huenda hakujua mkuu,
but R.I.P mama yake mkuu fofofo.
 
angekuwa Jk kwenda kwenye mazishi tungesema sana kumbe ni jadi yetu tunayotaka kuikataa
 
patamu hapo ingependeza Lema akutane na Meya wa Arusha kila mmoja akitaka kuongoza mazishi.
 
Mr Ebo ulipokuwa unaumwa hatukuona cha CCM au chadema wakigombania kukuponya lakini leo chadema wanagombania maiti yako dhidi ya ccm
 
Kwani Mr Ebo alikuwa chadema? kadi namba ngapi? kama sivyo kwa nini na CCM, TLP, UDP wasiende tu kumzika mtanzania mwenzetu alikuwa mtu wa watu wote na alituimbia wote bila kujali chama!!!!!!!!!
Acha kukurupuka.nani kasema ccm,tlp na udp wasiende?
 
Kwani Mr Ebo alikuwa chadema? kadi namba ngapi? kama sivyo kwa nini na CCM, TLP, UDP wasiende tu kumzika mtanzania mwenzetu alikuwa mtu wa watu wote na alituimbia wote bila kujali chama!!!!!!!!!

Kwani LEMA ni CHADEMA? Lema anaenda kwenye mazishi kama Lema siyo CHADEMA. Hata mtoa mada hajaitaja CHADEMA. MUWE MNAFIKIRIA HATA KIDOGO TU JAMANI
 
Poleni sana familia ya Mr Ebo!

Lema ni nani katika familia ya Mr Ebo, mpaka kupanga mazishi hayo!

Huu msiba una uhusiano gani na wanaharakati wa Chadema!

Mbona mnataka kupora msiba wa watu?
 
All the best, tungependa kushiriki ila tuko mbali, tuwakilisheni vema. RIP Mr. Ebbo, wabongo tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi, tangulia tuko nyuma yako twaja.

nitakuwepo mazishi ya Mr Ebo lakini siendi kwa tiketi ya chama chochote nitakuwa mtu huru kwa maslahi ya watanzania wote. tutawajuza kitakachojiri huko. Marehemu siku hizi ni mateka wa kisiasa
 
chama cha wasanii hakipo mbona wasemaji wakuu wa mr Ebo ni chadema? naona thread imekaa kiushabiki shabiki? kama kujitongozesha vile.
 
Poleni sana familia ya Mr Ebo!

Lema ni nani katika familia ya Mr Ebo, mpaka kupanga mazishi hayo!

Huu msiba una uhusiano gani na wanaharakati wa Chadema!

Mbona mnataka kupora msiba wa watu?

Lema ni mbunge wa Mr Ebo,ccm walishindwa
 
Tumeambiwa Samwel Sitta anawapatanisha lakini kwa mwendo huu kupatana hakupo. mjadala huu umenikumbusha zile kesi za kugombania maiti mahakamani kila upande ukitaka kupata ridhaa ya kuzika kisha upande unaoshindwa kesi unasusa kuhudhuria mazishi. Chadema acha hizo hazisaidii taifa letu.
 
Kwani Mr Ebo alikuwa chadema? kadi namba ngapi? kama sivyo kwa nini na CCM, TLP, UDP wasiende tu kumzika mtanzania mwenzetu alikuwa mtu wa watu wote na alituimbia wote bila kujali chama!!!!!!!!!

Unachonga kisa LEMA au CDM? LEMA ni Mbunge wa Arudha na Mr EBO ni mkazi wa ARUSHA.. Wewe na humtambui LEMA ndio 7bu hata maziko yake hamkumpa taarifa..Na vyombo vya habari hatujackia kutangazwa kifo cha MAMA YAKO... Na huenda hata nduguzo (baadhi ) hawakuudhuria.. Punguza CHUKI..
 
Gaudance Lyimo ni Meya wa Mr Ebo, chadema walishindwa
Arusha hatuna meya mama hata kama tungekuwa nae meya anachaguliwa na watu 15 huwezi kumlinganisha na munge alie chaguliwa na watu 57,000...............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…