Abiria waliokua wakisafiri na treni ya TAZARA kutoka Dar es salaam kwenda Mbeya wamepaza sauti zao kujua nini hatima ya safari yao baada ya kukaa stesheni ya treni Dar es salaam tangu jana septemba 3, wakisubiri kusafiri mpaka leo septemba 4, baada ya kupokea matangazo ya kuahirishwa kwa safari yao bila ufafanuzi wowote kutoka mamlaka husika na ofisi za viongozi wa stesheni zimefungwa.
Your browser is not able to display this video.
Abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Mbeya kwa treni ya TAZARA wamekwama kwenye stesheni ya TAZARA mkoani Dar es Salaam kuanzia saa nane mchana wa Septemba 3, 2024 huku wakipokea matangazo ya kuahirishwa kwa safari yao bila ufafanuzi wa sababu za kuahirishwa huko.
Abiria hao wameiambia Azam TV kuwa uongozi wa shirika la reli haujajitokeza kuwapa taarifa yoyote ya ziada.
Azam TV
=====
KUCHELEWA KUONDOKA KWA TRENI YA ABIRIA YA KILIMANJARO KATIKA STESHENI YA DAR ES SALAAM.
TAZARA inaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza kwa abiria wote waliotakiwa kusafiri na Treni ya abiria ya Kilimanjaro kutoka stesheni ya Dar es Salaam siku ya Jumanne saa Saba na dakika Hamsini Mchana (13.50)
Hali hii imesababishwa na kuchelewa kuwasili kwa treni hiyo kutoka Mbeya. Kwa mujibu wa ratiba treni ya Kilimanjaro ilitakuwa kuwasili siku ya Jumapili tarehe 01.09.2024 saa kumi na moja na dakika ishirini Jioni (17:20) na kuondoka siku ya Jumanne tarehe 03.09.2024 saa saba na dakika Hamsini mchana (13:50), badala yake iliwasili siku ya Jumanne tarehe 03.09.2024 saa saba kamili mchana (13.00) katika stesheni Kuu ya Dar es Salaam.
Mabehewa ya treni hiyo ya abiria yalihitaji matengenezo kabla ya kuondoka ili kuhakikisha usalama wa abiria. Kazi ya matengenezo imemalizika leo, Jumanne asubuhi tarehe 04.09.2024 na treni hiyo iliondoka saa tano na nusu asubuhi (11:30) kuelekea Mbeya.
Suluhisho la nchi ni moja, tubinafsishe miradi yote ya serikali pamoja na mashirika ya umma, tuajiri mawaziri na wataalam kutoka Ulaya, Marekani, China na India au mbili, turuhusu kutawaliwa upya angalau kwa miaka 50.
Abiria waliokua wakisafiri kwa treni ya TAZARA kutoka Dar es salaam kwenda Mb eya wamepaza sauti zao kujua nini hatima ya safari yao baada ya kukaa stesheni ya treni Dar es salaam tangu jana septemba 3, wakisubiri kusafiri paka leo septemba 4, baada ya kupokea matangazo ya kuahirishwa kwa safari yao bila ufafanuzi wowowte kutoka mamlakaq husika na ofisi za viongozi wa stesheni zimefungwa View attachment 3086621
Abiria waliokua wakisafiri na treni ya TAZARA kutoka Dar es salaam kwenda Mbeya wamepaza sauti zao kujua nini hatima ya safari yao baada ya kukaa stesheni ya treni Dar es salaam tangu jana septemba 3, wakisubiri kusafiri mpaka leo septemba 4, baada ya kupokea matangazo ya kuahirishwa kwa safari yao bila ufafanuzi wowote kutoka mamlaka husika na ofisi za viongozi wa stesheni zimefungwa.
===
Abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Mbeya kwa treni ya TAZARA wamekwama kwenye stesheni ya TAZARA mkoani Dar es Salaam kuanzia saa nane mchana wa Septemba 3, 2024 huku wakipokea matangazo ya kuahirishwa kwa safari yao bila ufafanuzi wa sababu za kuahirishwa huko.
Abiria hao wameiambia Azam TV kuwa uongozi wa shirika la reli haujajitokeza kuwapa taarifa yoyote ya ziada.
Naomba tren na leo isiondoke niuze chakula kwa kweli, kila siku na bakisha. Yaani nimefurahi saanaaa. Jaman msiache kunicheck pm nafanya delivery kwa jero tuu.
Nadhani sio wale direct Dsm to Mbeya..wa njiani hasa kabla ya makambako..wengine huona kama ndio usafiri salama zaidi, wengine wanasafiri wengi nk nk...mana kinauli tofauti na bus yaweza kuwa sio kubwa sana.
Nadhani sio wale direct Dsm to Mbeya..wa njiani hasa kabla ya makambako..wengine huona kama ndio usafiri salama zaidi, wengine wanasafiri wengi nk nk...mana kinauli tofauti na bus yaweza kuwa sio kubwa sana.