A
Anonymous
Guest
Bado kuna shida kubwa sana ya madereva wa daladala kugeuzia njiani na kufaulisha abiria kwenye gari nyingine.
Imekuwa kero na usumbufu mkubwa sana hasa kwa daladala zinazotokea Mipango kuelekea Mjini. Serikali husika itusaidie kuweka askari kwenye vituo mbalimbali maana kufaulisha abiria sio vyema inatufanya tukae tena kwenye gari nyingine na tusubiri mpaka ijae jambo ambalo linatuchelewesha makazini.
Pia nauli haieleweki ukitoa hela ya noti unakatwa na shilingi mia ya ziada yaani mfano ukitoa 1000 unarudishiwa 400 badala ya 500 hivyo tunalazimika kuchenji hela mapema usiku ili kupata nauli kamili(huo ni mfano halisi wa gari zinazotoka Mipango kwenda Mjini)
Imekuwa kero na usumbufu mkubwa sana hasa kwa daladala zinazotokea Mipango kuelekea Mjini. Serikali husika itusaidie kuweka askari kwenye vituo mbalimbali maana kufaulisha abiria sio vyema inatufanya tukae tena kwenye gari nyingine na tusubiri mpaka ijae jambo ambalo linatuchelewesha makazini.
Pia nauli haieleweki ukitoa hela ya noti unakatwa na shilingi mia ya ziada yaani mfano ukitoa 1000 unarudishiwa 400 badala ya 500 hivyo tunalazimika kuchenji hela mapema usiku ili kupata nauli kamili(huo ni mfano halisi wa gari zinazotoka Mipango kwenda Mjini)