Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 220
huwa inanipa taabu sana, eti kwa nini abiria wa pikipiki huwa wanakaa "upande" kila mara huku wakichingulia "kiaina" juu ya bega la dereva.... yaani hawakai wima na kutazama visogo vya madereva wao?