johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Abiria wa treni ya Dsm kwenda Moshi wamemuomba mkurugenzi wa TRC ndugu Kadogosa kuwaboreshea Huduma za ukataji tiketi kwani abiria ni wengi na foleni ni ndefu sana.
Abiria hao wamedai kipindi hiki shule zimefungwa na wananchi wengine wanaenda nyumbani kula sikukuu za mwisho wa mwaka na treni hiyo ndio tegemeo lao.Wameomba TRC iweke utaratibu rafiki wa kukata tiketi katika kituo cha Kamata.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Abiria hao wamedai kipindi hiki shule zimefungwa na wananchi wengine wanaenda nyumbani kula sikukuu za mwisho wa mwaka na treni hiyo ndio tegemeo lao.Wameomba TRC iweke utaratibu rafiki wa kukata tiketi katika kituo cha Kamata.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!