Abiud - Ana tatizo la afya ya akili ingawa ana kipaji

Abiud - Ana tatizo la afya ya akili ingawa ana kipaji

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Huyu kijana ambaye amekuwa maarufu kwa kipaji chake cha uimbaji nilifurahi kumwona BSS kama mmoja wa washiriki.

Hata hivyo nilistuka kupata taarifa kuwa hayupo tena BSS na sikujua sababu ni nini hadi leo nilipoangalia manara TV.

Yeye mwenyewe akihojiwa alisema ameamua kuondoka kwa kuwa mmoja wa majaji alimkwaza kwa kumwambia kuwa ana wenge.

Hata hivyo nadhani kwa vile tu jaji aliyemwona ana wenge siyo mtaalamu wa afya ndio maana alilazimika kumwambia ukweli aliouona kwake.

Binafsi nimeona huyu kijana ana tatizo zaidi ya kuwa na mawenge tu.Abiud ana tatizo la afya ya akili na anahitaji msaada wa haraka.

Ukimuona mtu kama yeye anasena ni mkubwa kuliko BSS!,unajua kabisa kuna mahali nyaya zimeachia.

Kama kuna mtu yupo karibu nae hapa ,amwambie aende upesi kwa
Daktari na amweleze kuwa ana tatizo la kiakili

Ila tu kwa maoni yangu,ni muimbaji wa kawaida na hana sifa ya kufika hata top 10.

Anapaswa kulijua tatizo lake kisha akitib

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Watu wa mitandao
🇮🇱 Wanakesha masaa 24 wanaongea kwenye mitandao

🇮🇱 Wengi wanatumia majina feki

🇮🇱 Wengi wanatumia app za kubadili sauti

🇮🇱 Wanakuwa na ma akaunti tofauti kwenye mitandao tofauti au mitandao mmoja ila Kila akaunti ana jina tofauti na tabia tofauti.

🇮🇱 Huyo mtu mmoja anaweza kuwa rafiki wa kinafiki katika Kila pande zinazo sigana ziwe za kisiasa au za kijamii. Huku anaponda akaunti nyingine inasifia. Kwa kufanya hivyo atakuwa ana taarifa za pande zote anakuwa anacheza na ninyi mumpatie maokoto akaunti hii anakutetea na kukusifu akaunti nyingine anakukandya lakini ni yuleyule
 
hajui kuimba wala nn maimpe bichwa msanii wa kawaida sana tena sanaaaaa yaan mara kumi yule dada wa instagram lydia anajua na sifa anazopewa anastahili ila hili bumunda hamna kitu nidhamu ziro
 
hajui kuimba wala nn maimpe bichwa msanii wa kawaida sana tena sanaaaaa yaan mara kumi yule dada wa instagram lydia anajua na sifa anazopewa anastahili ila hili bumunda hamna kitu nidhamu ziro
Tatizo ana kiburi,Mungu alimwinua lakini sasa ameanza kuwa chawa wa Geor Davie akitamani na yeye aitwe kupewa gari.Tatizo hajitambui kuwa hana akili hata akiitwa atapewa hela ya kula tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Nchi hii sahv kila mtu kawa msanii

Ova
 
Huwa nashangaa kwanini anapiga vyombo hasa gita kwa kuigiza akitumia mdomo!
 
Tanzania watu wengi wenye matatizo ya akili wapo tu bila kukutana wataalam. Mimi katika kutembea kwangu nimekutana na wanasema hana emotions. Yaani yeye hajisikii furaha, huzuni, huruma wala hisia zozote. Nikajiuliza mtu kama huyu angezaliwa Bongo nani angejua.
 
Back
Top Bottom