nyabhera
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 661
- 733
Kwa tathimini ya haraka ndugu Aboubakari Abdalah Juma ndiye mgombea amenikonga moyo wangu.
Amenikonga moyo kwa kuonesha yeye ni kiongozi thabiti. Hasa kwa namna alivyoungwa mkono na familia yake katika kutia nia ya urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Waumini wa social democracy huamini kiongozi mzuri huanza katika familia yake. Aliwahi kusema Adolf Hitler kua anayeweza kuongoza familia yake vyema ataongoza vyema kijiji kwa maana kijiji ni muunganiko wa familia nyingi.
Pia atajaweza kuongoza kijiji ataongoza vyema taifa kwa kuwa Taifa ni muunganiko wa vijiji vingi.
Kwa mkitadha huo kama huyu Aboubakar atateuliwa na NCCR Mageuzi hakika atapata kura yangu.
Asante.
Amenikonga moyo kwa kuonesha yeye ni kiongozi thabiti. Hasa kwa namna alivyoungwa mkono na familia yake katika kutia nia ya urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Waumini wa social democracy huamini kiongozi mzuri huanza katika familia yake. Aliwahi kusema Adolf Hitler kua anayeweza kuongoza familia yake vyema ataongoza vyema kijiji kwa maana kijiji ni muunganiko wa familia nyingi.
Pia atajaweza kuongoza kijiji ataongoza vyema taifa kwa kuwa Taifa ni muunganiko wa vijiji vingi.
Kwa mkitadha huo kama huyu Aboubakar atateuliwa na NCCR Mageuzi hakika atapata kura yangu.
Asante.