Bwana mdogo,me nakushauri kama umepangwa HGE kapge hyo hyo tu,coz egm nayo kutoka kwake ni ishu,infact Egm na Hge zote zina uelekeo mmoja,tofaut zake ni ndogo sana!kubadili comb ktk shule husika inaruhusiwa,ukfka shule kaonane na mkuu wako wa shule 2 atakusaidia.best of lucky in your studies.over