Tunapambana mkuu hajuna alitezaliwa anaijua lugha hiiNani atabisha? Umepiga mumo kwa pale.Ingawa kwenye kujua English ni kama kuna aina fulani ya consolation /liwazo kwa wale wenzangu na mimi. Wajifunze lugha. Wasibweteke. Hahahahaaaa
Mi nikisikia hamorapa lazima ni furahi.