About technical colleges

Rebson sanga

Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
31
Reaction score
0
Poleni na majukumu ya kila cku wanajf mimi kwa majina naitwa husen ngilangwa nimehitimu kidato cha nne mwaka jana na kwa bahat mbaya sikufanikiwa kujiunga na kidato cha tano kwasababu nlipata division 4 ya 26 na nlipata c za phyisics na chemistry na masomo mengne yote yaliyobaki nlipata d kwahiyo nimekuja kwenu leo wanajf mnisaidie kwa ushaur ni college gan nnaweza kuendelea na masomo na je ntasoma course gan na kwa ngazi ip diploma au certficate na kama ni certficate ni miaka mingapi ntamaliza ili nianze diploma samahan kwa usumbufu ushauri wako ndo msaada wangu ahsanten
 
Bahati mbaya umechelewa admission time ishafungwa but unaweza kupata DIT as a private
 
Kama ana Division Four, yenye C ya physics na Chemistry na kwa masomo menine ana ufaulu wa D, itampasa afanye Pre entrt course inayotolewa hapo kwa mda wa miezi mitatu, akisoma Physical science, Intro to Eng Mathematics, Communication Skills pamoja na Computer ambapo kunakua na CA itayo muhitaji apate 20 out of 40 na FE itamuhitaji apate 30 out of 60 kwa masomo yote ndipo ataweza kupata udahiri pale na kuchaguliwa katika moja ya kozi ambazo atakua ameomba, isipo kua wengi hufeli sana hii pre entry course.



DIT wanachukua division four? Kozi ipi?
 
DIT,MIST au ATC kwa hayo matokeo yako n lazma upge pre- entry course bt kam unatak technical kwa result zako hzo labda jaribu mwakan but ukiona uwezi kuvumilia nenda UCC kapge IT then usome Computer science
 
Yaan hyo pre entry course wantk wLatu wachace kweli 4 Example this year at DIT.. walioomba kusoma course kadhaa pale na wanaowatak
Tele waliochaguliwa kupga pre entry n 183 hv wanaotakiwa 36
Biomedical zaid ya 60 wanawatak 8 tu
Mining waliochaguliwa kupg pre entry n 80 hv wanaotakiwa n 15
zlizobk wanatkiwa kama 30 hv kla course isipokuwa CIVIL ndo wanatakiwa weng kdogo sina data kamili.but n kam wanawtaka 60 hv... so nafkr utaona jns utakavyojpanga.... kila la KHERI.....
 
kama uko dar nenda DIT kaulizie huo utaratibu wa pre entry au ST.JOSEPH UNIVERSITY-KIBAMBA upate utaratibu...
 
Labda aende st.joseph, DIT pre entry wanaanza kupga test ya kwanza j3 so naona kam kachelew sana
 
Hiyoo mbona unachukua degree kabisa st joseph, but bsc. withj education , siku hizi st joseph unachukua degree moja kwa moja toka form 4 kwa course hiyo, ili mradi uwe na cheti cha form 4 division yoyote ile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…