Absalom Kibanda awe wa mwisho kutembelewa na viongozi endapo hatua hazitachukuliwa kwa wahusika waliomteka

Absalom Kibanda awe wa mwisho kutembelewa na viongozi endapo hatua hazitachukuliwa kwa wahusika waliomteka

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Watanzania tusikubali kufanywa wajinga. Haingii akilini kwa viongozi wa serikali kuonyesha moyo wa upendo kwa kutembelea wahanga wa vitendo vya "kimafya" kama mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom Kibanda leo huko Afrika kusini ambapo raisi amemtembelea lakini mwisho wa siku hakuna kinachofanyika licha ya ahadi za viongozi kuhakikisha wahusika wanakamatwa na kuchukuliwa hatua!

Saed kubenea alipomwagiwa tindikali viongozi wa serikali walimtembelea na kumpa pole.Dr.Ulimboka nae alitembelewa na kupewa pole.Hali kadhalika, Absalom Kibanda nae ametembelewa na kupewa pole.Na katika matukio yote haya viongozi wa serikali wana ahidi kuwa wahusika watasakwa na kuchukuliwa hatua!

Je,katika matukio yote hayo na mengine ya aina hiyo, ni watu wangapi wameshakamatwa na kufunguliwa mashitaka na hata kuhukumiwa? Sasa hii ina maana gani kama sio kuonyesha kuwa serikali haina dhamira ya kweli kushughulika wahalifu hawa?

Mimi nafikiri kama tukio hili la Kibanda litaisha kwa mtindo huu, basi ni wakati muafaka kwa wanahabari na makundi mengine ya kijamii kuweka msimamo wa pamoja kukata kutembelewa na viongozi pindi matukio hayo yanapojirudia.

Tuache kunyenyekea na kufanywa wajinga!Mbona wauaji wa aliyekuwa kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza walipatikana!Iweji hawa wengine wasipatikane?
 
Waanze na kumkamata Ramadhani Ighondu! Wamtoe yule Mkenya maskini anayesota rumande kwa kosa asilofanya!
 
Watanzania tusikubali kufanywa wajinga.Haingii akilini kwa viongozi wa serikali kuonyesha moyo wa upendo kwa kutembelea wahanga wa vitendo vya "kimafya" kama mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom Kibanda leo huko Afrika kusini ambapo raisi amemtembele lakini mwisho wa siku hakuna kinachofanyika licha ya ahadi za viongozi kuhakikisha wahusika wanakamatwa na kuchukuliwa hatua!

Saed kubenea alipomwagiwa tindikali viongozi wa serikali walimtembelea na kumpa pole.Dr.Ulimboka nae alitembelewa na kupewa pole.Hali kadhalika, Absalom Kibanda nae ametembelewa na kupewa pole.Na katika matukio yote haya viongozi wa serikali wana ahidi kuwa wahusika watasakwa na kuchukuliwa hatua!

Je,katika matukio yote hayo na mengine ya aina hiyo, ni watu wangapi wameshakamatwa na kufunguliwa mashitaka na hata kuhukumiwa?Sasa hii ina maana gani kama sio kuonyesha kuwa serikali haina dhamira ya kweli kushughulika wahalifu hawa?

Mimi nafikiri kama tukio hili la Kibanda litaisha kwa mtindo huu, basi ni wakati muafaka kwa wanahabari na makundi mengine ya kijamii kuweka msimamo wa pamoja kukata kutembelewa na viongozi pindi matukio hayo yanapojirudia.

Tuache kujipendekeza na kufanywa wajinga!Mbona wauaji wa aliyekuwa kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza walipatikana!Iweji hawa wengine wasipatikane?

Mpaka sasa una bia ya ngapi mkuu, naona unakoroma Kapumzike.
 
Waanze na kumkamata Ramadhani Ighondu! Wamtoe yule Mkenya maskini anayesota rumande kwa kosa asilofanya!
Mtasema mengi sana, lakini ukweli wote anao Mwigullu Mchemba.
 
Hivi mpaka sasa kuna watu wowote waliokwisha kamatwa kuhusiana na tukio hili?
 
Mtasema mengi sana, lakini ukweli wote anao Mwigullu Mchemba.
Kwa nini ameenda nao jkt wakati kuna polisi na yeye ni kiongozi wa kitaifa wa ccm? Tuseme hajui pa kuupeleka? Na kwa nini tusiseme kuhusu Rama wakati ushahidi uko wazi na haujakanushwa? Ulimboka amesema wazi na hajahojiwa! Si ni ukweli? Angekamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kumchafua Rama! Kwa nini hashitakiwi? Hoja ya Mwigulu ni propaganda! Haina mashiko hadi atakapoipeleka katika vyombo vya sheria!
 
Mnataka Dj akamatwe mpate sababu ya Kuandamana.
 
Mkuu jama wako studio wanaandaa "movie" nyingine!Itatoka muda si mrefu.

Vuta subira!

Mbona intelijensia ya kuzuia maandamano ya CHADEMA wanayo, hili linawashinda nini?
Kama hili ndo hii kuna haja gani ya kuwa na idara ya usalama wa taifa? kuna haja gani ya kuwa na wizara na waziri wa mambo ya ndani na usalama wa raia?
Kwa nini watu hao waendelee kulipwa mishahara!
Alipouwawa kamanda wa polisi kule Mwanza faster walikamata watu.....sh$nz*
 
Kwa nini ameenda nao jkt wakati kuna polisi na yeye ni kiongozi wa kitaifa wa ccm? Tuseme hajui pa kuupeleka? Na kwa nini tusiseme kuhusu Rama wakati ushahidi uko wazi na haujakanushwa? Ulimboka amesema wazi na hajahojiwa! Si ni ukweli? Angekamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kumchafua Rama! Kwa nini hashitakiwi? Hoja ya Mwigulu ni propaganda! Haina mashiko hadi atakapoipeleka katika vyombo vya sheria!

ulimboka anaruhusiwa kufungua Kesi ya Shambulio kwa nini hafungui dhidi ya hao anaowajua? Ukitafakari jambo jipe fursa ya kuangalia upande wa Pili. Jiulize kwa nini Ulimboka hafungui kesi kama serikali imegwaya.Ulimboka karudi katulia kapata ukweli kuwa waliopaza Sana sauti msibani ndio wachawi wa Marehemu.Nguvu ya Ukweli ni kubwa kuliko ya Umma, Umma ulilishwa Propaganda ambayo Dr.Uli na familia yake walijulishwa ukweli wa tukio wakaona ni Busara kukaa kimya, msijipe udalali wa kumsemea Dr. Ili mjifanye mnajua kulisemea Taifa, eti ' afande shuti' propanda za njia panda ya himo to Namanga!
 
Watanzania tusikubali kufanywa wajinga.Haingii akilini kwa viongozi wa serikali kuonyesha moyo wa upendo kwa kutembelea wahanga wa vitendo vya "kimafya" kama mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom Kibanda leo huko Afrika kusini ambapo raisi amemtembele lakini mwisho wa siku hakuna kinachofanyika licha ya ahadi za viongozi kuhakikisha wahusika wanakamatwa na kuchukuliwa hatua!

Saed kubenea alipomwagiwa tindikali viongozi wa serikali walimtembelea na kumpa pole.Dr.Ulimboka nae alitembelewa na kupewa pole.Hali kadhalika, Absalom Kibanda nae ametembelewa na kupewa pole.Na katika matukio yote haya viongozi wa serikali wana ahidi kuwa wahusika watasakwa na kuchukuliwa hatua!

Je,katika matukio yote hayo na mengine ya aina hiyo, ni watu wangapi wameshakamatwa na kufunguliwa mashitaka na hata kuhukumiwa?Sasa hii ina maana gani kama sio kuonyesha kuwa serikali haina dhamira ya kweli kushughulika wahalifu hawa?

Mimi nafikiri kama tukio hili la Kibanda litaisha kwa mtindo huu, basi ni wakati muafaka kwa wanahabari na makundi mengine ya kijamii kuweka msimamo wa pamoja kukata kutembelewa na viongozi pindi matukio hayo yanapojirudia.

Tuache kunyenyekea na kufanywa wajinga!Mbona wauaji wa aliyekuwa kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza walipatikana!Iweji hawa wengine wasipatikane?


[h=3]RAIS KIKWETE AMJULIA HALI MHARIRI MTENDAJI WA HABARI CORPORATION ABSALOM KIBANDA AFRIKA KUSINI[/h]

8E9U5191.JPG

8E9U5178.JPG

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mhariri Mtendaji wa Habari Corporation Absalom Kibanda aliyelazwa katika hospitali ya Mill Park iliyopo mji wa Johannesburg, Afrika ya Kusini leo jioni. Kulia ni Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.

Bwana Kibanda alipelekwa Afrika ya kusini kwa matibabu zaidi baada ya kujeruhiwa vibaya na watu wasiojulikana juzi usiku.Rais Kikwete yupo Afrika ya Kusini kuhudhuria Mkutano wa Viongozi wa Vyama vilivyokuwa mstari wa Mbele katika mapambano dhidi ya Ukoloni na ubaguzi wa Rangi.Mkutano huo umeandaliwa na Chama cha African National Congress(ANC). (kwahisani ya father kidevu blog)
 
ulimboka anaruhusiwa kufungua Kesi ya Shambulio kwa nini hafungui dhidi ya hao anaowajua? Ukitafakari jambo jipe fursa ya kuangalia upande wa Pili. Jiulize kwa nini Ulimboka hafungui kesi kama serikali imegwaya.Ulimboka karudi katulia kapata ukweli kuwa waliopaza Sana sauti msibani ndio wachawi wa Marehemu.Nguvu ya Ukweli ni kubwa kuliko ya Umma, Umma ulilishwa Propaganda ambayo Dr.Uli na familia yake walijulishwa ukweli wa tukio wakaona ni Busara kukaa kimya, msijipe udalali wa kumsemea Dr. Ili mjifanye mnajua kulisemea Taifa, eti ' afande shuti' propanda za njia panda ya himo to Namanga!
Jamaa anauliza eti uko bia ya ngapi?
 
RAIS KIKWETE AMJULIA HALI MHARIRI MTENDAJI WA HABARI CORPORATION ABSALOM KIBANDA AFRIKA KUSINI



8E9U5191.JPG

8E9U5178.JPG

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mhariri Mtendaji wa Habari Corporation Absalom Kibanda aliyelazwa katika hospitali ya Mill Park iliyopo mji wa Johannesburg, Afrika ya Kusini leo jioni. Kulia ni Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.

Bwana Kibanda alipelekwa Afrika ya kusini kwa matibabu zaidi baada ya kujeruhiwa vibaya na watu wasiojulikana juzi usiku.Rais Kikwete yupo Afrika ya Kusini kuhudhuria Mkutano wa Viongozi wa Vyama vilivyokuwa mstari wa Mbele katika mapambano dhidi ya Ukoloni na ubaguzi wa Rangi.Mkutano huo umeandaliwa na Chama cha African National Congress(ANC). (kwahisani ya father kidevu blog)

Naona anatabasamu!
 
Watanzania tusikubali kufanywa wajinga.Haingii akilini kwa viongozi wa serikali kuonyesha moyo wa upendo kwa kutembelea wahanga wa vitendo vya "kimafya" kama mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom Kibanda leo huko Afrika kusini ambapo raisi amemtembele lakini mwisho wa siku hakuna kinachofanyika licha ya ahadi za viongozi kuhakikisha wahusika wanakamatwa na kuchukuliwa hatua!

Saed kubenea alipomwagiwa tindikali viongozi wa serikali walimtembelea na kumpa pole.Dr.Ulimboka nae alitembelewa na kupewa pole.Hali kadhalika, Absalom Kibanda nae ametembelewa na kupewa pole.Na katika matukio yote haya viongozi wa serikali wana ahidi kuwa wahusika watasakwa na kuchukuliwa hatua!

Je,katika matukio yote hayo na mengine ya aina hiyo, ni watu wangapi wameshakamatwa na kufunguliwa mashitaka na hata kuhukumiwa?Sasa hii ina maana gani kama sio kuonyesha kuwa serikali haina dhamira ya kweli kushughulika wahalifu hawa?

Mimi nafikiri kama tukio hili la Kibanda litaisha kwa mtindo huu, basi ni wakati muafaka kwa wanahabari na makundi mengine ya kijamii kuweka msimamo wa pamoja kukata kutembelewa na viongozi pindi matukio hayo yanapojirudia.

Tuache kunyenyekea na kufanywa wajinga!Mbona wauaji wa aliyekuwa kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza walipatikana!Iweji hawa wengine wasipatikane?
list ya watu wanaopanga mauaji anayo Nchemba kwa nini hawamkamati?
 
Back
Top Bottom