Aache kupiga square passes kwanzaKweli Ni mzuri..lakini viungo wa aina yake wapo wengi tu
Abubakar Salum ni baba yake, huyu unayemzungumzia ni Salum Abubakar
Ni kweli mkuu ila anakosa zaid utulivu akicheza zaidi holding role na pia rafu zisizo kuwa na mpangilioHuyu anamuacha mbali sana Mkude