Academic certificate kwanini isiwe kama collateral security?

entry

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2018
Posts
286
Reaction score
539
Habarini,

Kama kichwa kisemavyo wasomi mtaani wanalalama kuhusu ajira na ukigusia swala la kujiajiri sababu inakuwa mtaji na ni kweli ukienda kwenye financial institutions nyingi ili upate mkopo vigezo vyao sio rafiki kwa mtu ambaye hana kitu.

Hoja yangu ni kwamba hamna haja ya kupendekeza academic certificate ziwe kama security wakati wa kuchukua mkopo?

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Vyeti vinavyotolewa na vyuo hivi hivi vya nchi hii au....?
 
Seriously? Ukishindwa kurejesha mkopo hiyo collateral (cheti) inafaa kuuzwa kurudisha hela ya watu?
Yawezekana mleta hoja hajaelewa sababu zinazopelekea kuwepo hitaji la mkopaji kuweka collateral security. Cheti ni nonsaleable hivyo mkopaji akifariki, kuwa incapacitated kwa namna yote au kughairi kulipa kwa makusudi mkopeshaji atamuuzia nani hicho cheti ili kurudisha pesa yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…