Man Ngosha
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 219
- 69
Habari wadau wa Jf!!
Nimetumiwa sms juu ya uwepo wa interview ya Accessbank itakayofanyika Msimbazi Centre Ijumaa saa 1:30 PM je ni kuna mwingine aliyepata ujumbe huu?nataka kuhakiki manake isije ikawa mchezo wa mtu manake ilishanitokea hapo awali!!
Naomba kuwasilisha wadau!!
Habari wadau wa Jf!!
Nimetumiwa sms juu ya uwepo wa interview ya Accessbank itakayofanyika Msimbazi Centre Ijumaa saa 1:30 PM je ni kuna mwingine aliyepata ujumbe huu?nataka kuhakiki manake isije ikawa mchezo wa mtu manake ilishanitokea hapo awali!!
Naomba kuwasilisha wadau!!
Wanatuma sms hii nayo kali ya mwaka.Hebu call hiyo namba na uliza kinachoendelea upate uhakika.