Access bank wamenipa mkopo, msaada baa ipi Sinza ina wanawake wakali?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Access bank baada ya kusumbuana kwa muda mrefu hatimaye wameachia mkopo,wadau leo mpaka Jumamoosi nitakuwa Sinza naclear mind kabla ya kuanza biashara rasmi,hapo Sinza baa ipi ina wahudumu na watoto wakali wasiopenda makuu?
 
Nenda. Ambrose but please usisahau ule mkataba uliofanikisha wewe kupata huo mkopo especially kile kipengele cha riba
 
Access bank baada ya kusumbuana kwa muda mrefu hatimaye wameachia mkopo,wadau leo mpaka Jumamoosi nitakuwa Sinza naclear mind kabla ya kuanza biashara rasmi,hapo Sinza baa ipi ina wahudumu na watoto wakali wasiopenda makuu?
You must be joking...Ishakula kwakooo...
 
We mkuu siyo bure unanyota ya ucomedian..ulinza kwenda Iceland kuoa, ukaja na ishu ya kubikiri kule Malawi...Jana ulitaka kufyatua wa 6...leo unakwenda kubikiri mkopo wa bank..Anyway kila la kheri ila kuwa makini isije ikawa zamu yako.
 
Access bank baada ya kusumbuana kwa muda mrefu hatimaye wameachia mkopo,wadau leo mpaka Jumamoosi nitakuwa Sinza naclear mind kabla ya kuanza biashara rasmi,hapo Sinza baa ipi ina wahudumu na watoto wakali wasiopenda makuu?
Umenichekesha sana mkuu....
 
Mkuu njoo ilala hapa nipo na washkaji wangu kwa Wapemba napata chipsi kuku nikimaliza naingia bar kupata Castle large baridi.
 
We mkuu siyo bure unanyota ya ucomedian..ulinza kwenda Iceland kuoa, ukaja na ishu ya kubikiri kule Malawi...Jana ulitaka kufyatua wa 6...leo unakwenda kubikiri mkopo wa bank..Anyway kila la kheri ila kuwa makini isije ikawa zamu yako.
Jamaa hatari anaunganisha episode tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…