HAMNAZOAccess bank baada ya kusumbuana kwa muda mrefu hatimaye wameachia mkopo,wadau leo mpaka Jumamoosi nitakuwa Sinza naclear mind kabla ya kuanza biashara rasmi,hapo Sinza baa ipi ina wahudumu na watoto wakali wasiopenda makuu?
umeona, mkuu nenda pale corner bar - africasana tena na hotel ya kulala ipo karibumbona mna mpoteza,mwenzenu,yeye anataka baa nzur sinza,hayo maelezo mengine yanatoka wap,
Njoo hapa Mabibo External.. Kuna kiwanja kipya nadhani panaitwa London bridge.. Pana mbuzi watamu pale hutojutia matumizi ya mkopo wako katu...
mkuu,kwel kabsaUsisahau kondom
Naionaga nikiwa naenda tbt via jeshin,nayo ina totoz wakaleNi LONDON Lounge
Haa haa kabsa mkuumbona mna mpoteza,mwenzenu,yeye anataka baa nzur sinza,hayo maelezo mengine yanatoka wap,
poa poa chief,ntakupmMkuu njoo ilala hapa nipo na washkaji wangu kwa Wapemba napata chipsi kuku nikimaliza naingia bar kupata Castle large baridi.