Access bank baada ya kusumbuana kwa muda mrefu hatimaye wameachia mkopo,wadau leo mpaka Jumamoosi nitakuwa Sinza naclear mind kabla ya kuanza biashara rasmi,hapo Sinza baa ipi ina wahudumu na watoto wakali wasiopenda makuu?
Mabaarmaide wengi wa bongo wameshazeeka, kazaa mtoto/watoto katekezwa anakwenda kuwa baamarmaide. Nenda jangwani au mabibo Hostel utapata warembo, alafu ukionekana unanukia pesa ni ulimbo huo wananasa.
Pale Rombo Green View palikuwa na mizigo kiwango cha lami enzi hizo ila sasa nasikia wengi wanaumwa, kuna mada inaelekeza La Chaz, Sinza si pabaya nako.