Account ya prof jay ya twitter imevamiwa

deepsea

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2013
Posts
3,287
Reaction score
944
Account hiyo ambayo imeungwa na mtandao wa facebook,kuna mtu kaiingilia nakupost kuwa kesho prof atakuwepo kwenye shoo ya leaders wakati sio kweli wala hawajaongea naye.Ameyasema hayo akiongea na kipindi cha masikani kupitia Times fm,baada ya kupigiwa simu na mtangazaji Gadder G Habash.
 
nimesoma fb pia...amelalamika pia kuna mtu amehack accont zeke. Sijajua huyo mtu alikua na lengo gani
 
naomba kesho mvua ipige siku nzima mpaka jumapili.
 
Kesho ntakuwa zangu bize na EL CLASSICO,mtanisimulia tu mtaoenda kumuona sijui davido
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…