Account yangu ya uhamiaji portal umekuwa locked msahada

Account yangu ya uhamiaji portal umekuwa locked msahada

Shivo32

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2023
Posts
327
Reaction score
645
Msaada wakuu account yangu baada ya kujisajili Jana nkatakiwa kulogin ,,wakati wa kulogin password nliyoweka akat na sajili iligoma nkajua labda ni mtandao kujalbu mara kadhaa naambiwa account locked.
Nimejarbu kuwa tumia ujumbe kweny email yao lakn kimya toka Jana xaa Saba mchana pia simu zao nkipiga sizipati heweni .
Nko Dodoma
 
Kalime hata kuandika msada hujui unaenda kufanya nn kwa wakeni watakaoingia
 
Msaada wakuu account yangu baada ya kujisajili Jana nkatakiwa kulogin ,,wakati wa kulogin password nliyoweka akat na sajili iligoma nkajua labda ni mtandao kujalbu mara kadhaa naambiwa account locked.
Nimejarbu kuwa tumia ujumbe kweny email yao lakn kimya toka Jana xaa Saba mchana pia simu zao nkipiga sizipati heweni .
Nko Dodoma
subir after 24 hrs
 
ha
Msaada wakuu account yangu baada ya kujisajili Jana nkatakiwa kulogin ,,wakati wa kulogin password nliyoweka akat na sajili iligoma nkajua labda ni mtandao kujalbu mara kadhaa naambiwa account locked.
Nimejarbu kuwa tumia ujumbe kweny email yao lakn kimya toka Jana xaa Saba mchana pia simu zao nkipiga sizipati heweni .
Nko Dodoma
Hawa jamaa wa Uhamiaji wana website mbovu sana. sijui IT wao analipwa mshahara wa nini.
 
Back
Top Bottom