Account za kawaida benki inaweza kuwa na uwezo kuwa na kiasi gani cha fedha?

Ferrenga

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2016
Posts
942
Reaction score
1,658
Wakuu naomba kujua kama akounti ya kawaida ya benki inaweza kuwa na uwezo wa kuwa na kiasi kama billioni na kuendelea..

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Kwanini isiwe na uwezo wa kuchukua hizo hela zote?
 
Kuna kias flan km max balance Ikizidi unahtaji kujaza fomu ya vyanzo vya pesa yako. Ant money laundering Act Inakuta ufanye hvyo

sent from iphone 7S
 
Reactions: MC7
Kuweka pesa utaweka lakini kuitoa utaweza mpaka usibitishe uliipataje? Laasivyo unakuwa umetoa sadaka. Kama alivyofanyiwaga Wema Sepetu aliwekewa Bilioni kwenye akaunti yake. Kuitwa kuthibitisha ana mbwela wakaichukua nadhani kwa kipindi kile cha awamu ya nne akukuwa na ishu sana lakini bank waliiichukua
 
Kuweka utaweka ila kwenye kutoa ndo watatafuta chanzo.. Leta nikakuwekee

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kias flan km max balance Ikizidi unahtaji kujaza fomu ya vyanzo vya pesa yako. Ant money laundering Act Inakuta ufanye hvyo

sent from iphone 7S
Mkuu signature yako noma. iPhone bado hawajatoa iphone 7s, ipo 7 na 7plus..
 
Kuweka utaweka ila kwenye kutoa ndo watatafuta chanzo.. Leta nikakuwekee

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Hahahahaha! Daah![emoji134] Ukamuwekee!??![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Daah![emoji134] [emoji24] [emoji24] [emoji24] Daah! Yaan wanaichukua hivi hivi unaiona[emoji15] [emoji134] [emoji24] [emoji24]

Naye alishindwa kudanganya Sababu yoyote ile!?!?[emoji134] [emoji134]

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu naomba kujua kama akounti ya kawaida ya benki inaweza kuwa na uwezo wa kuwa na kiasi kama billioni na kuendelea..

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
I do not advice you kuweka that much kwenye savings account. Na kama hiyo pesa siyo ya biashara (umeipata kwa njia nyingine) achana na kuiweka benki kabisaa, iinvest somewhere uilipie kodi. Nadhani utakuwa umeelewa namaanisha nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…