Account za mitandao ya kijamii za Yanga hazijawa 'verified'?

Account za mitandao ya kijamii za Yanga hazijawa 'verified'?

hiram

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
266
Reaction score
393
Kuna account nyingi zenye jina Simba Sports Club ila yenye blue tick ndiyo account rasmi ya klabu ya Simba; hiyo tiki inamaanisha kuwa account siyo feki.

Process za kupata blue tick ni nyepesi ni kutuma tu leseni na vielelezo vichache kuonesha kweli wewe ni mmiliki halali,
Yanga tunakwama wapi?

Pengine tuna wafuasi wengi kuliko Simba lakini hakuna verified account, hivyo wafuasi wanasambaa kwenye viji account mbalimbali vilivyoanzishwa na watu mbalimbali.

dewji.jpg
simbas.jpg
yanga.jpg
manarah.jpg
simba.jpg
 
Y
Wewe account yako umeiverify kwa blue tick?
Yanga account inayotumia ni mpya zote.Kwa hiyo wakati ukifika kila kitu kitakuwa sawa.Sio lazima simba wakiverify na sisi tukaverify tutafanya kwa wakati wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
kama sisi tumeanzishwa 1935 halafu account zetu zinakuwa MPYA hilo ni tatizo tayari
 
Acha Tule Keki Ya Birthday Vizuri, Tick Ndiyo Nini 😶😏😏😐🤔
Ndiyo Mlitaka Jana Tufungwe Shughuli Iharibike 😄😅🤣😃😂😁
Yanga Bila Tick Inawezekana
 
TASAF FC mpk wananchi tuichangie pesa labda ndipo watafanya jitihada za kui-verify hio a/c.

dodge
 
Y
kama sisi tumeanzishwa 1935 halafu account zetu zinakuwa MPYA hilo ni tatizo tayari
Hakuna tatizo hapo.Kwani kuna kitu unashindindwa kupata kuhusu Yanga Africa?Miaka 85 hii kila kitu unakijua.Kwa hiyo mambo hayo ni ya kawaida.

Ila ukweli ni kuwa account zilikuwepo tangia zamani ila sasa kuna mambo yalienda kombo wakaanza upya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TASAF FC mpk wananchi tuichangie pesa labda ndipo watafanya jitihada za kui-verify hio a/c.

dodge
Mo kashindwa kuweka timu hotel..mmeenda kupanga apartment zilizokosa wapangaji Mbweni nani kachoka???
 
Hao yanga ni kikundi cha wahuni wavuta bhangi tu haiwezi kuwa rahisi kupata verify ww kweny mtandao mkubwa kama Instagram au Twitter, subutu yao
 
Back
Top Bottom