Jamii Opportunities
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 4,876
- 1,549
Sio kwmb hatuzion na hatu apply tatz unashangaa kila ukiomb ni kimya Tu hamn hat feedback yeyte sas najiuliza ni kweli huwa wanatangaz ajira wanatak watu au ni michosho kw kweli.Wazee wa Accounting kila siku post zenu zipo
Na unakut vigezo vyote unavyo na unajrb kuuliza wenzio pia lakin hamn kitSio kwmb hatuzion na hatu apply tatz unashangaa kila ukiomb ni kimya Tu hamn hat feedback yeyte sas najiuliza ni kweli huwa wanatangaz ajira wanatak watu au ni michosho kw kweli.
Sio kwmb hatuzion na hatu apply tatz unashangaa kila ukiomb ni kimya Tu hamn hat feedback yeyte sas najiuliza ni kweli huwa wanatangaz ajira wanatak watu au ni michosho kw kweli.
Ofisi zinatimiza wajibu tu wa kuonekana zinatoa matangazo public.
Maboss mnatuchosha jamaniWe Apply Timiza Wajibu Wako Kwa Ku-apply Mengine Waache Wenyewe
Maboss mnatuchosha jamani
Hapo ukute mna mtoto wa Mjomba
Ila mnatusumbua hadi interview kutuita
Ahsante mkuu ngoja niaapply asap