Acha hii tabia za kutuma meseji kwa watu usiowajua

Acha hii tabia za kutuma meseji kwa watu usiowajua

Mr. Purpose

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2016
Posts
1,468
Reaction score
2,767
Hivi ulishawahi kutumiwa huu ujumbe na mtu yeyote?

Habari yako

Samahani kwa kuja inbox yako bila ruhusa, namba yako nimetoa kwenye group la...

Mimi naitwa......, naishi DAR. Naomba usave namba yangu na mimi nisave yako[emoji1319] kwa ajiri ya:

  • Urafiki
  • Status view
  • Kuhabarishana
  • Money Connection
  • mambo mbalimbali ya kiulimwengu [emoji288]
  • Na pia ideas za business.
Mi nisave. Sijui nikusave nan ndug[emoji1317][emoji2375]?"

Kwa wewe unaye penda kutuma meseji kama hizi kwa watu ukiamini ni njia nzuri kutengeneza connections, unafeli sana.

Watu wa maana hawaji kwenye maisha yako na kufanya kazi na wewe kiurahisi hivi.
 
Hivi ulishawahi kutumiwa huu ujumbe na mtu yeyote?

"Habari yako?
samahani kwa kuja inbox yako bila ruhusa,namb yako nimetoa kwenye group la........
Mimi naitwa......, naishi DAR

Naomba
usave namba yangu na mimi nisave yako[emoji1319] kwa ajiri ya

mambo mbalimbali ya kiulimwengu [emoji288]
Na pia ideas za business...
[emoji1754]
Mi nisave.....
Sijui nikusave nan ndug[emoji1317][emoji2375]?"


................................................................





Kwa wewe unaye penda kutuma meseji kama hizi kwa watu ukiamini ni njia nzuri kutengeneza connections, unafeli sana.

Watu wa maana hawaji kwenye maisha yako na kufanya kazi na wewe kiurahisi hivi.
Mlime tofali tu
 
Wanajiita Save for Save[emoji3]

Screenshot_20211202-163234.jpg
 
Niliwahi kukutana na hii kitu, funny huwezi ikuta kwa watu wa mwanza ,mbeya ,iringa shinyanga nk.most ya watu Hawa wanatoka Dar na Pwani, Mimi huishia kuwabloki tu,sipendagi ujinga miye,Mimi namuona mtu anayeshinda akiweka status za WhatsApp hasa Hawa wa kiume Ni sawa na mtu asiyekuwa na umakini na maisha yake,

Mwanamme unapata wapi muda wa kupandisha status kila siku Kama ke,Kuna Wakati nawaza Sana katika malezi ya watoto wangu wa kiume, Kama Hali ndo hii ya vijana kulilia kazi za kuview status kazi ipo
 
kama ni KE kanitumia, nafanya mchakato wa kumla mbususu kwanza

then tofali linafata
 
Hivi ulishawahi kutumiwa huu ujumbe na mtu yeyote?

Habari yako

Samahani kwa kuja inbox yako bila ruhusa, namba yako nimetoa kwenye group la...

Mimi naitwa......, naishi DAR. Naomba usave namba yangu na mimi nisave yako[emoji1319] kwa ajiri ya:

  • Urafiki
  • Status view
  • Kuhabarishana
  • Money Connection
  • mambo mbalimbali ya kiulimwengu [emoji288]
  • Na pia ideas za business.
Mi nisave. Sijui nikusave nan ndug[emoji1317][emoji2375]?"

Kwa wewe unaye penda kutuma meseji kama hizi kwa watu ukiamini ni njia nzuri kutengeneza connections, unafeli sana.

Watu wa maana hawaji kwenye maisha yako na kufanya kazi na wewe kiurahisi hivi.
Nimewahi kutumiwa aina hii ya ujumbe na kitoto fulani, nakieleza mie ni mtu mzima hakinielewi... Leo ndio nimejua kumbe hizo sms ni standard format kabisa , maneno hayohayo!
 
Kwa ushauri tu kama wapo humu.

Achana na hizo sms za kufoward ni bora basi uanzishe charting na watu kadhaa kwa siku, anza na salamu kama ni mtu wa mtandao sana atakupa ushirikiano na mtasaviana tu namba zenu.

Ila hii yenu ni inakera coz text ni moja, ukiwa na group lenye vitoto vingi basi jua hutakosa watu hata 5 wataokutumia hiyo sms.
 
Connection as easy as putting a dick* in da pussssyyyyy..???they can't be serious!!
 
Back
Top Bottom