Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
We mbona Binti Kimoso anakufuga wakati una msnitch?Ongezea hii, angalia unayemsaidia au kumuinua. Wengi waliinua mashetani yakaja kuwageukia.
Waafrika ni maskini kwa sababu wanasaidiana kuliko uhalisia na bila akili.
Afrika tunaongozwa na mfumo wa Ujamaa, kusaidiana.
Akunusuru na nini?Mungu tunusuru
Mbali hapa duniani ni wapiAsikae nyumbani kwako.Msaidie akiwa mbali.
Vipi kuhusu mdogo au kakaako keshakufanyia hivyoUnaemsaidia ndiye anakuja kukutombea mke wako
Bora ukatili tu..
Amnusuru na wachawi na Mapepo kwa jinsi ya mwili yanayolazimisha tuamini Mungu hayupo ili yatishughulikie humu ukiwemo wewe.Akunusuru na nini?
masikini anachokikosa yeye ni maarifa mtu akishakosa maarifa ndio basi tena ata ukimsaidia vipi ni ngumu sana kusogeaWaswahili hawasidiki asilimia kubwa maana tatizo lao sio pesa linalowafanya wawe masikini bali mfumo AKILI ndo unashida.
Tusaidie tajiri, udugu sio kuzaliwa pamoja.Saidieni ndugu msisikilize hao waganga, wanawachonganisha tu
masikini anachokikosa yeye ni maarifa mtu akishakosa maarifa ndio basi tena ata ukimsaidia vipi ni ngumu sana kusogea
Hakuna pesa rahisi ndio mana watu watu wanapambana usiku na mchana kujenga future wapo watu wanarisk ata roho zao ili wapate pesa masikini wengi wanaamini mafanikio ni bahati
Mimi sipondi starehe lakiniTusaidie tajiri, udugu sio kuzaliwa pamoja.
Sijasema unaponda, tusaidie tajiri huna baya wala abaya na hupondi starehe.Mimi sipondi starehe lakini
Kweli sifa tamu jamani, kaa ndo maana mama amelewa sana! kidogo tu najisikia nikususie password albin utaniuaSijasema unaponda, tusaidie tajiri huna baya wala abaya na hupondi starehe.
π sasa tajiri huo n uhalisia unataka unisusie password ya wapi?Kweli sifa tamu jamani, kaa ndo maana mama amelewa sana! kidogo tu najisikia nikususie password albin utaniua
Vijana siyo watu wa maana kabisaMjep umeona vijana hawa?π
paswed zote Chauwa mtiifuπ sasa tajiri huo n uhalisia unataka unisusie password ya wapi?
Haunikwazi tajirii
Hauniboi tajiri
Ta ji wi di zingatia ombi langu tugawie utajiripa
paswed zote Chauwa mtiifu
Pua yako ilipoishia.Mbali hapa duniani ni wapi
Huku ni kukataana kamili!