with all due respect you are an uphill gardener....no offenceAu mtu anajikuta anasema ' With due respect' halafu anaendelea kuongea hayoo maneno means hao wanaambiwa wapumbavu!! Heheeee
[emoji28][emoji28][emoji28] daah dunia sio fair...Huyo mtoa huduma hakurusha nyavu?Kuna dogo nilikuwa foleni sasa ye alifika muda ila jina lake likawa haliitwi nikaskia jina langu limeitwa badala ya yeye, sasa wakati naamka niingie kupata Huduma nikawa naangalia niliowaacha nyuma huku naenda yule dogo alichofanya ni kuninyooshea kidole cha kati juu vingine vimeinama chini mithili ya wa USA walivokuwa wanamtusi Trump baada ya uchaguzi.
Roho iliniumaaaa mpaka leo nikasema atalipwa tu, maana sio kosa langu kumpita nimeitwa nikatae iweje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulihonga tatizo iloKuna dogo nilikuwa foleni sasa ye alifika mda ila jina lake likawa haliitwi nikaskia jina langu limeitwa badala ya yeye,, sasa wakati naamka niingie kupata Huduma nikawa naangalia niliowaacha nyuma huku naenda yule dogo alichofanya ni kuninyooshea kidole cha kati juu vingine vimeinama chini mithili ya wa USA walivokuwa wanamtusi trump baada ya uchaguzi.
Roho iliniumaaaa mpaka leo nikasema atalipwa tu,, maana sio kosa langu kumpita nimeitwa nikatae iweje.
This mudafuckn thread is so fuckng goodTukumbuke kuwa lugha yoyote imebeba utamaduni wa wazawa wa lugha husika. Na matusi hutofautiana kutoka lugha moja hadi nyingine. Neno ambalo ni tusi katika lugha ya Kiswahili huenda lisiwe tusi katika lugha ya Kiingereza...
Pia Magufuli hupenda kutumia neno mpumbavuVijana wa siku hiz wanalitumia sana hilo neno..ni zaidi ya tusi.
Mkuu tafiti zaidi utakuja kuprove nimachosema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nimemsikia Bibi anawaambia wajukuu zake..hebu ntoleeni usenge hapo mlangoni
Sikuamini kabisa
Kwanini hukuamini mkuu usishangae ndo dunia wauni pia huzeeka sio kila mzee ana busara.Mimi nimemsikia Bibi anawaambia wajukuu zake..hebu ntoleeni usenge hapo mlangoni
Sikuamini kabisa
Huyo ni bibi wa dar, hawaogopi kutamka mitusiMimi nimemsikia Bibi anawaambia wajukuu zake..hebu ntoleeni usenge hapo mlangoni
Sikuamini kabisa
Masara mabichi utoto raha,nilikuwa nikitamka hivoMbona "Son of a Bit**" hujaitolea maana.
Yaani unaweza usiamini ukimuona na hao wajukuu zake..Huyo ni bibi wa dar, hawaogopi kutamka mitusi