Acha kutumia maneno haya mtaani nii matusi makubwa sana

[emoji28][emoji28][emoji28] daah dunia sio fair...Huyo mtoa huduma hakurusha nyavu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu iyo peugeot si gari ilo imekuwaje imekuwa tusi tena
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulihonga tatizo ilo
 
Neno kuwa tusi au la inategemea na utamaduni wa jamii husika, mengi ya uliyoyataja kama matusi hutumika zaidi kwa jamii ya wazungumzaji wa lugha ya kiingereza na kwa wengi wao haimaanishi tusi...ni kama sisi kwa sasa neno kama "fala" "mshenzi" kuna mazingira yanatumika kama sifa na wala sio tusi kama kwa asili yake! unaweza sikia vijana siku hizi wanasema..."huyu fala achana nae ni mshenzi wa sayansi hakuna" usifikiri katukanwa ila kasifiwa!
 
Tukumbuke kuwa lugha yoyote imebeba utamaduni wa wazawa wa lugha husika. Na matusi hutofautiana kutoka lugha moja hadi nyingine. Neno ambalo ni tusi katika lugha ya Kiswahili huenda lisiwe tusi katika lugha ya Kiingereza...
This mudafuckn thread is so fuckng good
 
Mbona "Son of a Bit**" hujaitolea maana.
 
Ayo broh what da meaning of
Dumbass,
Freaky
Cocksucker's
Prank
 
Trust me tusi kwa lugha ya kigeni haliumi kabisa na halina madhara ni bora tu watumie hayo ya kizungu kama tafsida au nyie mnaonaje wazee ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…