Acha leo niwaambie ukweli ndugu zangu wananchi, viongozi wenu walikosea kwenye dirisha kubwa la usajili

Acha leo niwaambie ukweli ndugu zangu wananchi, viongozi wenu walikosea kwenye dirisha kubwa la usajili

BABA BOMBASTIC

Senior Member
Joined
Jul 10, 2024
Posts
146
Reaction score
246
Ndugu zangu wananchi,viongozi wenu walikosea kwenye dirisha kubwa la usajili,kwenye dirisha kubwa mchezaji aliyesajiliwa kwa usahihi ni Duke Abuya,wengine wote waliobaki Yanga imepigwa,engineer na hao viongozi wengine wamehiijumu Yanga baada ya kuona Yanga imefanya vinzuri ndani ya misimu 3 mfululizo ndipo hapo viongozi walipiga pesa za usajili.

Kinachowapitia Yanga ndio kinacho wapitia Man City,hakuna timu yeyote dunia inayoweza kucheza misimu 3 mfululizo kwa intensity ile ile haitakaa itokee,viongozi walipaswa kufanya reshuffle,na sio kusajili wazee.

Sasa kitakacho wasaidia Yanga dirisha dogo wanapaswa kusahili wachezaji wenye matanki ya kutosha ambao wataingia moja kwa moja kwenye timu,Yanga wanapaswa kuachana na hawa wachezaji..

1.Chama
2.Aucho
3.Mkude
4.Sure boy
5.Mwanyeto
6.Pacome

Bila ya hivyo Yanga itashika nafasi ya 4 NBC, viongozi wasiwanyooshee vidole benchi la ufundi bali wajitathimini upuuzi wao wa kusajili kwa sifa.

Pia Simba nikiangalia kwa ufundi kuna sehemu wamekosea kwenye usajili na kuna sehemu wamepatia.
Walipokosea.

1.Joshua mutale
2.Mukwala
3.Ngoma
Hao wachezaji nishati zao zishashuka sana nao wajithamini kuna baya litawakuta soon

Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Nakaribisha mapovu na matusi ila ukweli acha uwekwe wazi
 
Ndugu zangu wananchi,viongozi wenu walikosea kwenye dirisha kubwa la usajili,kwenye dirisha kubwa mchezaji aliyesajiliwa kwa usahihi ni Duke Abuya,wengine wote waliobaki Yanga imepigwa,engineer na hao viongozi wengine wamehiijumu Yanga baada ya kuona Yanga imefanya vinzuri ndani ya misimu 3 mfululizo ndipo hapo viongozi walipiga pesa za usajili.

Kinachowapitia Yanga ndio kinacho wapitia Man City,hakuna timu yeyote dunia inayoweza kucheza misimu 3 mfululizo kwa intensity ile ile haitakaa itokee,viongozi walipaswa kufanya reshuffle,na sio kusajili wazee.

Sasa kitakacho wasaidia Yanga dirisha dogo wanapaswa kusahili wachezaji wenye matanki ya kutosha ambao wataingia moja kwa moja kwenye timu,Yanga wanapaswa kuachana na hawa wachezaji..

1.Chama
2.Aucho
3.Mkude
4.Sure boy
5.Mwanyeto
6.Pacome

Bila ya hivyo Yanga itashika nafasi ya 4 NBC, viongozi wasiwanyooshee vidole benchi la ufundi bali wajitathimini upuuzi wao wa kusajili kwa sifa.

Pia Simba nikiangalia kwa ufundi kuna sehemu wamekosea kwenye usajili na kuna sehemu wamepatia.
Walipokosea.

1.Joshua mutale
2.Mukwala
3.Ngoma
Hao wachezaji nishati zao zishashuka sana nao wajithamini kuna baya litawakuta soon

Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Nakaribisha mapovu na matusi ila ukweli acha uwekwe wazi
Umekopi kuna mdau twitter toa credit.
 
Ndugu zangu wananchi,viongozi wenu walikosea kwenye dirisha kubwa la usajili,kwenye dirisha kubwa mchezaji aliyesajiliwa kwa usahihi ni Duke Abuya,wengine wote waliobaki Yanga imepigwa,engineer na hao viongozi wengine wamehiijumu Yanga baada ya kuona Yanga imefanya vinzuri ndani ya misimu 3 mfululizo ndipo hapo viongozi walipiga pesa za usajili.

Kinachowapitia Yanga ndio kinacho wapitia Man City,hakuna timu yeyote dunia inayoweza kucheza misimu 3 mfululizo kwa intensity ile ile haitakaa itokee,viongozi walipaswa kufanya reshuffle,na sio kusajili wazee.

Sasa kitakacho wasaidia Yanga dirisha dogo wanapaswa kusahili wachezaji wenye matanki ya kutosha ambao wataingia moja kwa moja kwenye timu,Yanga wanapaswa kuachana na hawa wachezaji..

1.Chama
2.Aucho
3.Mkude
4.Sure boy
5.Mwanyeto
6.Pacome

Bila ya hivyo Yanga itashika nafasi ya 4 NBC, viongozi wasiwanyooshee vidole benchi la ufundi bali wajitathimini upuuzi wao wa kusajili kwa sifa.

Pia Simba nikiangalia kwa ufundi kuna sehemu wamekosea kwenye usajili na kuna sehemu wamepatia.
Walipokosea.

1.Joshua mutale
2.Mukwala
3.Ngoma
Hao wachezaji nishati zao zishashuka sana nao wajithamini kuna baya litawakuta soon

Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Nakaribisha mapovu na matusi ila ukweli acha uwekwe wazi
Pacome mtoe hapo, yeye ndio mwenye ubora aliebaki
 
Ndugu zangu wananchi,viongozi wenu walikosea kwenye dirisha kubwa la usajili,kwenye dirisha kubwa mchezaji aliyesajiliwa kwa usahihi ni Duke Abuya,wengine wote waliobaki Yanga imepigwa,engineer na hao viongozi wengine wamehiijumu Yanga baada ya kuona Yanga imefanya vinzuri ndani ya misimu 3 mfululizo ndipo hapo viongozi walipiga pesa za usajili.

Kinachowapitia Yanga ndio kinacho wapitia Man City,hakuna timu yeyote dunia inayoweza kucheza misimu 3 mfululizo kwa intensity ile ile haitakaa itokee,viongozi walipaswa kufanya reshuffle,na sio kusajili wazee.

Sasa kitakacho wasaidia Yanga dirisha dogo wanapaswa kusahili wachezaji wenye matanki ya kutosha ambao wataingia moja kwa moja kwenye timu,Yanga wanapaswa kuachana na hawa wachezaji..

1.Chama
2.Aucho
3.Mkude
4.Sure boy
5.Mwanyeto
6.Pacome

Bila ya hivyo Yanga itashika nafasi ya 4 NBC, viongozi wasiwanyooshee vidole benchi la ufundi bali wajitathimini upuuzi wao wa kusajili kwa sifa.

Pia Simba nikiangalia kwa ufundi kuna sehemu wamekosea kwenye usajili na kuna sehemu wamepatia.
Walipokosea.

1.Joshua mutale
2.Mukwala
3.Ngoma
Hao wachezaji nishati zao zishashuka sana nao wajithamini kuna baya litawakuta soon

Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Nakaribisha mapovu na matusi ila ukweli acha uwekwe wazi
Mbona unakuja kutoa taarifa saizi,nini kimetokea?
 
kusema Pacome na Mukwala kama ni sajili mbovu hapo unahitaji utoe maelezo ya kutosha
 
Ndugu zangu wananchi,viongozi wenu walikosea kwenye dirisha kubwa la usajili,kwenye dirisha kubwa mchezaji aliyesajiliwa kwa usahihi ni Duke Abuya,wengine wote waliobaki Yanga imepigwa,engineer na hao viongozi wengine wamehiijumu Yanga baada ya kuona Yanga imefanya vinzuri ndani ya misimu 3 mfululizo ndipo hapo viongozi walipiga pesa za usajili.

Kinachowapitia Yanga ndio kinacho wapitia Man City,hakuna timu yeyote dunia inayoweza kucheza misimu 3 mfululizo kwa intensity ile ile haitakaa itokee,viongozi walipaswa kufanya reshuffle,na sio kusajili wazee.

Sasa kitakacho wasaidia Yanga dirisha dogo wanapaswa kusahili wachezaji wenye matanki ya kutosha ambao wataingia moja kwa moja kwenye timu,Yanga wanapaswa kuachana na hawa wachezaji..

1.Chama
2.Aucho
3.Mkude
4.Sure boy
5.Mwanyeto
6.Pacome

Bila ya hivyo Yanga itashika nafasi ya 4 NBC, viongozi wasiwanyooshee vidole benchi la ufundi bali wajitathimini upuuzi wao wa kusajili kwa sifa.

Pia Simba nikiangalia kwa ufundi kuna sehemu wamekosea kwenye usajili na kuna sehemu wamepatia.
Walipokosea.

1.Joshua mutale
2.Mukwala
3.Ngoma
Hao wachezaji nishati zao zishashuka sana nao wajithamini kuna baya litawakuta soon

Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Nakaribisha mapovu na matusi ila ukweli acha uwekwe wazi
Mkuu dilisha dogo kusajiri mchezaji mzuri ni gharama kubwa mno
 
Wewe ni nani Hadi umpinge Raisi wa klabu na vilabu Barani Afrika?
Mimi ni Simba nasema ukweli Yanga ya mwaka huu imetepeta wachezaji hawana morali. Wakicheza nbc wataishia nafasi ya tano
 
Back
Top Bottom