Acha pupa ya kufungua biashara nyingi ambazo utashindwa kuzisimamia

Acha pupa ya kufungua biashara nyingi ambazo utashindwa kuzisimamia

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hakikisha biashara inayokupa kipato inakuwa imara kiasi kwamba ndo inakuwa kama utambulisho wako kwenye jamii kabla ya kufungua nyingine. Kwa mfano kwa sasa likitajwa jina na Bilionea Mulokozi moja kwa moja kinachokujia kichwani ni biashara yake ya pombe za ovyo.

Akitajwa Joseph Kusaga kitakachokujia kichwani ni biashara ya media. Kimsingi hawa watu wawili wana biashara zao zingine ila walihakikisha biashara zao za mwanzo zilizofanya vizuri zimekuwa kubwa na kuimarika. Hata Bill Gates na Microsoft yake amewekeza kwenye kuchimba madini huko Zambia.

Kijana kuwa makini na Motivation Speakers wanaosema usiweke mayai kwenye kikapu kimoja. Unapoanzisha biashara nyingine lazima ikugharimu mtaji na usimamizi. Inawezekana mtaji usiwe shida ila usimamizi ukawa mgumu ukaishia kuathiri hadi biashara ya mwanzo iliyokupa mtaji. Kuliko kukimbilia kufungua biashara mpya bora ufungue tawi la biashara unayofanya kwa sasa kwa sababu usimamizi wake hauwezi kukuzingua.
 
Pia serikali inatakiwa kuheshimu fedha za watu.

Sio mna freeze tu mkijisikia.

Hii italeta uoga kwa watu wengine kuja na idea zao. Sio kila mtu anapenda kutambulika. Na hii ni kutokana na wivu tulionao sisi ( hasa watu weusi ).
 
Pia serikali inatakiwa kuheshimu fedha za watu.

Sio mna freeze tu mkijisikia.

Hii italeta uoga kwa watu wengine kuja na idea zao. Sio kila mtu anapenda kutambulika. Na hii ni kutokana na wivu tulionao sisi ( hasa watu weusi ).
Acha kujihusisha na pesa haramu.
 
Hakikisha biashara inayokupa kipato inakuwa imara kiasi kwamba ndo inakuwa kama utambulisho wako kwenye jamii kabla ya kufungua nyingine. Kwa mfano kwa sasa likitajwa jina na Bilionea Mulokozi moja kwa moja kinachokujia kichwani ni biashara yake ya pombe za hovyo.

Akitajwa Joseph Kusaga kitakachokujia kichwani ni biashara ya media. Kimsingi hawa watu wawili wana biashara zao zingine ila walihakikisha biashara zao za mwanzo zilizofanya vizuri zimekuwa kubwa na kuimarika. Hata Bill Gates na Microsoft yake amewekeza kwenye kuchimba madini huko Zambia.

Kijana kuwa makini na Motivation Speakers wanaosema usiweke mayai kwenye kikapu kimoja. Unapoanzisha biashara nyingine lazima ikugharimu mtaji na usimamizi. Inawezekana mtaji usiwe shida ila usimamizi ukawa mgumu ukaishia kuathiri hadi biashara ya mwanzo iliyokupa mtaji. Kuliko kukimbilia kufungua biashara mpya bora ufungue tawi la biashara unayofanya kwa sasa kwa sababu usimamizi wake hauwezi kukuzingua.
Kabisa
Kuna mzee mwenzangu
Miaka nenda rudi ana vibasi viwili na kaduka kamoja ka kuzugia...lakini ana uwezo wa kuleta hata basi 20 kwa mpigo.
 
Hakikisha biashara inayokupa kipato inakuwa imara kiasi kwamba ndo inakuwa kama utambulisho wako kwenye jamii kabla ya kufungua nyingine. Kwa mfano kwa sasa likitajwa jina na Bilionea Mulokozi moja kwa moja kinachokujia kichwani ni biashara yake ya pombe za hovyo.

Akitajwa Joseph Kusaga kitakachokujia kichwani ni biashara ya media. Kimsingi hawa watu wawili wana biashara zao zingine ila walihakikisha biashara zao za mwanzo zilizofanya vizuri zimekuwa kubwa na kuimarika. Hata Bill Gates na Microsoft yake amewekeza kwenye kuchimba madini huko Zambia.

Kijana kuwa makini na Motivation Speakers wanaosema usiweke mayai kwenye kikapu kimoja. Unapoanzisha biashara nyingine lazima ikugharimu mtaji na usimamizi. Inawezekana mtaji usiwe shida ila usimamizi ukawa mgumu ukaishia kuathiri hadi biashara ya mwanzo iliyokupa mtaji. Kuliko kukimbilia kufungua biashara mpya bora ufungue tawi la biashara unayofanya kwa sasa kwa sababu usimamizi wake hauwezi kukuzingua.
Ni kwelii master kimoja kwanza..
 
Akili za kuambiwa changanya na zako.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom