Acha uchafu kwa kusingizia Uanaume

Acha uchafu kwa kusingizia Uanaume

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Habari zenu,

Uchafu ni tabia ya mtu binafsi na sio uanaume kama baadhi ya watu wachafu wanavyosema.

Kuna huu uzi Kwa walioolewa: Ulikutaje Nyumba au Chumba chako uliporudi kutoka Safari ambayo ulienda peke yako bila Mwenza?

Kwenye huo uzi ⬆️ kuna baadhi ya watu wanasema kabisa "ukiona Mwanaume ni msafi basi tambua huyo ni Mwanamke mwenye maumbile ya kiume".

Hakuna mtu ambae hajafundishwa usafi kwao, kwahyo usijifiche na uchafu wako kwenye kivuli cha Uanaume.

BADILIKA KIJANA ACHA UCHAFU!!!

Uzi Tayari.
 
lakini Inategemeana na mazingira, nilishawahi kukaa somewhere zaidi ya mwezi mbili bila kuoga wala kubadili nguo
 
Habari zenu,

Uchafu ni tabia ya mtu binafsi na sio uanaume kama baadhi ya watu wachafu wanavyosema.

Kuna huu uzi Kwa walioolewa: Ulikutaje Nyumba au Chumba chako uliporudi kutoka Safari ambayo ulienda peke yako bila Mwenza?

Kwenye huo uzi ⬆️ kuna baadhi ya watu wanasema kabisa "ukiona Mwanaume ni msafi basi tambua huyo ni Mwanamke mwenye maumbile ya kiume".

Hakuna mtu ambae hajafundishwa usafi kwao, kwahyo usijifiche na uchafu wako kwenye kivuli cha Uanaume.

BADILIKA KIJANA ACHA UCHAFU!!!

Uzi Tayari.
Nani alikutuma uwe mshauri wetu?
Dogo unakiherehere kama yale ya tumbo la kuhara
 
Kwasababu ya kutuattract yani bila sisi wanaume kuwepo wale viumbe wasingekuaga vile utasikia sasa namwogea nani!, nawe mwanaume tukuulize unamwogea nani spray unataka nani akunuse?
Jidanganye ,basi ingekuwa tunaoga kwa sabau yenu wanafunzi wa shule za gilrs na masister wangekuwa wachafu,ila kule ndio wanaongoza kwa usafi kuliko hata hawa wenye mabwana.
 
Mi nikiamka asubuhi cha kwanza lazima nitandike kitanda hata kama nimelala Lodge

Usafi ni tabia ya mtu mfano walivyolelewa waJapan walitolewa kwenye kombe la dunia baada ya mpira kuisha mashabiki wakafanya usafi uwanja wote wakaokota chupa na takataka zingine, huku wachezaji wakasafisha dressing room ikawa safi sana wanaondoka huku wameacha karatasi iliyoandikwa maneno machache ya shukrani
 
Back
Top Bottom