na ukienda kule machimboni watu ni wachafu kishenzi wala hawajaliAisee! Kweli wewe ni nomah.
nakumbuka uboyzini tulikua tunaoga siku za wali tuNgoja fungus imalize ngozi ya pumbu
Nani alikutuma uwe mshauri wetu?Habari zenu,
Uchafu ni tabia ya mtu binafsi na sio uanaume kama baadhi ya watu wachafu wanavyosema.
Kuna huu uzi Kwa walioolewa: Ulikutaje Nyumba au Chumba chako uliporudi kutoka Safari ambayo ulienda peke yako bila Mwenza?
Kwenye huo uzi ⬆️ kuna baadhi ya watu wanasema kabisa "ukiona Mwanaume ni msafi basi tambua huyo ni Mwanamke mwenye maumbile ya kiume".
Hakuna mtu ambae hajafundishwa usafi kwao, kwahyo usijifiche na uchafu wako kwenye kivuli cha Uanaume.
BADILIKA KIJANA ACHA UCHAFU!!!
Uzi Tayari.
Kwasababu ya kutuattract yani bila sisi wanaume kuwepo wale viumbe wasingekuaga vile utasikia sasa namwogea nani!, nawe mwanaume tukuulize unamwogea nani spray unataka nani akunuse?Ke ni wasafi kwasababu wanapenda, au kwasababu ya maumbile yao?
Pumbu erosion mwangu! Sisi wali tulikua tunakula mara tatu kwa wiki ila kuoga ilikua siku ya pilau jumamosi ya Mwisho wa mwezi .....hapo pilau na matunda 😂 mwanangu hatakaa asome uboyznnakumbuka uboyzini tulikua tunaoga siku za wali tu
😀😀😂😂😂 Ivi ww Kuna mda huwa unakuwaga serious?Ngoja fungus imalize ngozi ya pumbu
😂😂Nikiwa serious nsipokua serious mi naona nipo kawaida tu😀😀😂😂😂 Ivi ww Kuna mda huwa unakuwaga serious?
Jidanganye ,basi ingekuwa tunaoga kwa sabau yenu wanafunzi wa shule za gilrs na masister wangekuwa wachafu,ila kule ndio wanaongoza kwa usafi kuliko hata hawa wenye mabwana.Kwasababu ya kutuattract yani bila sisi wanaume kuwepo wale viumbe wasingekuaga vile utasikia sasa namwogea nani!, nawe mwanaume tukuulize unamwogea nani spray unataka nani akunuse?
Hamna siku nisome komenti yko nisicheke,yaan hata ukiandika ushaur unaweka mfumo wa matan 😆😂😂Nikiwa serious nsipokua serious mi naona nipo kawaida tu