Acha ujinga kujifanya unalinda BRAND(JINA)

Acha upumbavu ww upupu ni upi sasa?
 
Mleta mada Insta Facebook Whatsapp Tweeter ndio inaleta majanga haya. Ni bora wewe umeliweka wazi.
 
wewe ni bishoo tu
 
Naona brand yako itakua imechoka maana ushaizira unaonekana una dhiki au ujui kutafuta hela unaona wenzako wanatumia vibaya wewe hauzipati kama wao
 
Mi nalinda brand ila kazi zote nafanya hata kudeki choo nafanya ila brand nailinda kwa kweli.
 
Dah tisha sana
 
Hasw
Haswaa 2.5 primary. Hats chuo kikuu sikulipa iyo ada
 
Mtoa mada una utani na wamiliki wa iphone na samsung

Manake si kwa mapovu yao namna wanavyozikandia tecnoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…