Goliath mfalamagoha
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 602
- 2,506
safi sana kiongozi ujumbe mzuri aise"Leo Ni Kesho Uliyoihofia Jana" Huu Ni Ukumbusho Kuwa Maisha Ni Mapambano. Tuheshimiane Na Kuthamini Mawazo Ya Wenzetu Ila Sio Kuogopa. Uoga pekee Ni Dhambi Kwa Mungu. Unamuogopa Nani?. Yeye Kama Nani?. Ataishi Milele? Mwisho Wake Ni Wapi?. Muhimu Ni Kumkumbuka Mungu Katika Harakati Zetu Za Kila Siku. Amani Iwe Kwenu Wandugu.
Uko sahihi mkuu"Leo Ni Kesho Uliyoihofia Jana" Huu Ni Ukumbusho Kuwa Maisha Ni Mapambano. Tuheshimiane Na Kuthamini Mawazo Ya Wenzetu Ila Sio Kuogopa. Uoga pekee Ni Dhambi Kwa Mungu. Unamuogopa Nani?. Yeye Kama Nani?. Ataishi Milele? Mwisho Wake Ni Wapi?. Muhimu Ni Kumkumbuka Mungu Katika Harakati Zetu Za Kila Siku. Amani Iwe Kwenu Wandugu.