Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Ndio maana wengi wanakimbia ukanda huu wa biashara
Unakuta unakosa nguvu na kuwa na variety nyingi dukani za kuvuta wateja wasiondoke kwa maana wasikose bidhaa fulani dukani kwako
Kwa hio kama unaingia katika sekta uwe vizuri financially, tofauti na hapo utakaa ndani unahesabu mabox.
Unakuta unakosa nguvu na kuwa na variety nyingi dukani za kuvuta wateja wasiondoke kwa maana wasikose bidhaa fulani dukani kwako
Kwa hio kama unaingia katika sekta uwe vizuri financially, tofauti na hapo utakaa ndani unahesabu mabox.