Achali ya embe inatengenezwaje?

Achali ya embe inatengenezwaje?

Majigo

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
5,519
Reaction score
1,828
Msaada wajameni kama zile zinakuwaga ndani ya kopo (zinauzwa supermarket) na mafuta kidogo na pilipli kwa mbali hivi!

images


images


images


images


images


images


images




images



bl-250x250.jpg




Salt-.jpg
Mahitaji

-5 maembe mabichi yalimenywa na kukatwa kwa urefu
-2tsp cumin seed
-1tsp chumvi
-3 tsp ya vitunguu saumu vilivyosagwa
-5 pilipili mbuzi, zilizokatwa kwa urefu
-3 ndimu
-1 karoti grated (optional)

Mapishi

Tia mafuta kwenye sufuria (bora ikiwa non stick) ikipata moto tia saumu vikaange mpaka iwe rangi ya light brown tia cumin seedpilipili manga na , endelea kuzichanganya kwa dakika tia pilipili na zikaange kwa dakika, tia maembe yako na karoti endelea kuchanganya punguza moto mdogo halafu tia ndimu (siki) na chumvi. Endelea kugeuza kila mara mpaka maembe yatakapo iva.

Ikiwa itakauka sana unaweza kutia maji kama nusu kikombe tu, funika huku inachemka kwenye moto mdogo kwa muda wa 20 mins.

Zima mote, subiri ipowe, tia kwenye chupa yake tia kwenye friji.

cc Majigo
 
images


images


images


images


images


images


images




images



bl-250x250.jpg




Salt-.jpg
Mahitaji

-5 maembe mabichi yalimenywa na kukatwa kwa urefu
-2tsp cumin seed
-1tsp chumvi
-3 tsp ya vitunguu saumu vilivyosagwa
-5 pilipili mbuzi, zilizokatwa kwa urefu
-3 ndimu
-1 karoti grated (optional)

Mapishi

Tia mafuta kwenye sufuria (bora ikiwa non stick) ikipata moto tia saumu vikaange mpaka iwe rangi ya light brown tia cumin seedpilipili manga na , endelea kuzichanganya kwa dakika tia pilipili na zikaange kwa dakika, tia maembe yako na karoti endelea kuchanganya punguza moto mdogo halafu tia ndimu (siki) na chumvi. Endelea kugeuza kila mara mpaka maembe yatakapo iva.

Ikiwa itakauka sana unaweza kutia maji kama nusu kikombe tu, funika huku inachemka kwenye moto mdogo kwa muda wa 20 mins.

Zima mote, subiri ipowe, tia kwenye chupa yake tia kwenye friji.

cc Majigo
 
Last edited by a moderator:
Pia unaweza changanya mavituzi yote hapo juu, bila mafuta na maji ukaweka juani kwa wiki. Kama vile mbilimbi, achali yako tiyari.
 
Inakaa muda gani maana changamoto ni kwamba pilipili inakuwa tamu lakini ikaa muda mfupi haufaidi
 
images


images


images


images


images


images


images




images



bl-250x250.jpg




Salt-.jpg
Mahitaji

-5 maembe mabichi yalimenywa na kukatwa kwa urefu
-2tsp cumin seed
-1tsp chumvi
-3 tsp ya vitunguu saumu vilivyosagwa
-5 pilipili mbuzi, zilizokatwa kwa urefu
-3 ndimu
-1 karoti grated (optional)

Mapishi

Tia mafuta kwenye sufuria (bora ikiwa non stick) ikipata moto tia saumu vikaange mpaka iwe rangi ya light brown tia cumin seedpilipili manga na , endelea kuzichanganya kwa dakika tia pilipili na zikaange kwa dakika, tia maembe yako na karoti endelea kuchanganya punguza moto mdogo halafu tia ndimu (siki) na chumvi. Endelea kugeuza kila mara mpaka maembe yatakapo iva.

Ikiwa itakauka sana unaweza kutia maji kama nusu kikombe tu, funika huku inachemka kwenye moto mdogo kwa muda wa 20 mins.

Zima mote, subiri ipowe, tia kwenye chupa yake tia kwenye friji.

cc Majigo
🙏🏼
 
Back
Top Bottom