sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila media bhana. Ukisikiliza CNN unaweza kudhani Trump hatoshinda hta kwenye jimbo moja. Yaani wao ni negativity tu kwa kila anachofanya
Wanaiita China News NetworkIla media bhana. Ukisikiliza CNN unaweza kudhani Trump hatoshinda hta kwenye jimbo moja. Yaani wao ni negativity tu kwa kila anachofanya
Yani tukianzaga tu hata humu jf ni wengi sana wamelishwa taka taka na cnn wamekuwa vipofu, Mtu anaropoka pumba zile zile za cnn....Hongera sana kwa kujitambua chief, ni wachache sana kwa hapa tz mnajua kichambua mawe na mchele wa habari za mediaIla media bhana. Ukisikiliza CNN unaweza kudhani Trump hatoshinda hta kwenye jimbo moja. Yaani wao ni negativity tu kwa kila anachofanya
Yani inatia kinyaa kwa sasa, Corrupt news NetworkWanaiita China News Network
CNN wanazingatia maoni ya wananchi na siyo Lazima maoni yanayotolewa Sasa hivi yaakisi matokeo ya Uchaguzi. Lakini pia hata ukifuatilia maoni yanayokusanywa na Fox News ambacho ni chombo kikubwa kinachomsapoti Trump, bado hata wao wanaonyesha kwa kura za maoni Biden Yuko juu ya Trump. Kwa hiyo tusipingane na uhalisia. Hata Kama Trump akishinda ila kwa Sasa upepo unaonyesha Biden ndo atashindaYani tukianzaga tu hata humu jf ni wengi sana wamelishwa taka taka na cnn wamekuwa vipofu, Mtu anaropoka pumba zile zile za cnn....Hongera sana kwa kujitambua chief, ni wachache sana kwa hapa tz mnajua kichambua mawe na mchele wa habari za media