#COVID19 Achana na hofu ya Covid-19 isitawale mawazo yako

#COVID19 Achana na hofu ya Covid-19 isitawale mawazo yako

Bengesyz

New Member
Joined
Jul 17, 2021
Posts
1
Reaction score
1
Hofu hufanya kazi kupooza, inaweza kukufanya uwe mgonjwa, inaweza kuingilia kati kinga yako dhidi ya maambukizo

Wasiwasi unaweza kukufanya uwe mgonjwa, unaharibu na hudhoofisha kinga yako

HAKUNA faida hata moja kwa wasiwasi au woga.

Uhakika pekee ulionao ni kuwa na wakati mgumu na kuongeza nafasi ya matukio mabaya unayoogopa.

Wacha tuondoe mwelekeo wetu mbali na woga, mbali na wasiwasi.

Ingawa ni busara katika nyakati hizi kufuata taratibu zilizowekwa na wataalam.

achana na hofu ya COVID, isitawale mawazo yako.

Acha kusoma takwimu za wagonjwa . Hazikusaidii kwa njia yoyote. Hizo takwimu zinaweza kuwa muhimu kwa wataalamu wa magonjwa lakini sio wewe na mimi. Vifo vya maambukizo vinatokea wakati wowote, Kamwe tusiwe busy na hilo vichwani mwetu.

Tunakubali kuwa janga hili tunalo hapa na tunachukua hatua za busara ili kuzuia. Sasa ni vyema tuwe bize na kile tunachokifanya kila siku ili kuendesha maisha yetu maana kila mmoja anajua ugumu wake.

Nimeamua kuandika ushauri wangu kwenu juu ya ya hili gonjwa la COVID 19, nawaomba tusiwe woga ili tuishi maisha yenye furaha, hakuna wa kuzuia kifo kama MUNGU amepanga, lakini tusiache kufuata taratibu za wataalamu.

Kama mimi huvaa barakoa na kupunguza mwendo wangu mwenyewe, sihudhurii mikusanyiko isiyo ya lazima kwani hili ndio jambo linalosikika kuwa la busara na jambo sahihi la kufanya. Lakini vile vile mawazo yangu hayasumbiliwi tena na habari za janga.

Hofu ni sawa na upumbavu
Wasiwasi ni sawa na upumbavu.
 
Hofu hufanya kazi kupooza, inaweza kukufanya uwe mgonjwa, inaweza kuingilia kati kinga yako dhidi ya maambukizo

Wasiwasi unaweza kukufanya uwe mgonjwa, unaharibu na hudhoofisha kinga yako

HAKUNA faida hata moja kwa wasiwasi au woga.

Uhakika pekee ulionao ni kuwa na wakati mgumu
na kuongeza nafasi ya matukio mabaya unayoogopa .

Wacha tuondoe mwelekeo wetu mbali na woga, mbali na wasiwasi.

Ingawa ni busara katika nyakati hizi kufuata taratibu zilizowekwa na wataalam,

achana na hofu ya COVID, isitawale mawazo yako

Acha kusoma takwimu za wagonjwa . Hazikusaidii kwa njia yoyote.
Hizo takwimu zinaweza kuwa muhimu kwa wataalamu wa magonjwa lakini sio wewe na mimi.
Vifo vya maambukizo vinatokea wakati wowote, Kamwe tusiwe busy na hilo vichwani mwetu,
tunakubali kuwa janga hili tunalo hapa na tunachukua hatua za busara ili kuzuia,
Sasa ni vyema tuwe bize na kile tunachokifanya kila siku ili kuendesha maisha yetu maana kila mmoja anajua ugumu wake.

Nimeamua kuandika ushauri wangu kwenu juu ya ya hili gonjwa la COVID 19, nawaomba tusiwe woga ili tuishi maisha yenye furaha, hakuna wa kuzuia kifo kama MUNGU amepanga, lakini tusiache kufuata taratibu za wataalamu,
Kama mimi huvaa barakoa na kupunguza mwendo wangu mwenyewe, sihudhurii mikusanyiko isiyo ya lazima kwani hili ndio jambo linalosikika kuwa la busara na jambo sahihi la kufanya. Lakini vile vile mawazo yangu hayasumbiliwi tena na habari za janga.

Hofu ni sawa na upumbavu
Wasiwasi ni sawa na upumbavu.

Kwamba?

"Acha kusoma takwimu za wagonjwa . Hazikusaidii kwa njia yoyote.
Hizo takwimu zinaweza kuwa muhimu kwa wataalamu wa magonjwa lakini sio wewe na mimi."

Kuna tofauti gani kati ya wewe na kujificha kwa kufumba macho au huyu hapa?

IMG_20210718_063455_991.jpg


Ninyi mmeshachanjwa tena kwa gharama zetu bado mnatuletea hadithi hizi?

IMG_20210718_063653_881.jpg


Hivi mnatuona je lakini?


Waambieni wanaowatuma kuwa kimya chetu si ujinga.
 
Kwani kuna mtu ana hofu basi, sisi tunajiendea tu tukifa sawa tukipona sawa
 


Kwamba?

"Acha kusoma takwimu za wagonjwa . Hazikusaidii kwa njia yoyote.
Hizo takwimu zinaweza kuwa muhimu kwa wataalamu wa magonjwa lakini sio wewe na mimi."

Kuna tofauti gani kati ya wewe na kujificha kwa kufumba macho au huyu hapa?

View attachment 1857739

Ninyi mmeshachanjwa tena kwa gharama zetu bado mnatuletea hadithi hizi?

View attachment 1857740

Hivi mnatuona je lakini?


Waambieni wanaowatuma kuwa kimya chetu si ujinga.
 
Kwani kuna mtu ana hofu basi, sisi tunajiendea tu tukifa sawa tukipona sawa

Ungemalizia kabisa, hatuogopi kufa wala hatuogopi kupona ila tutawajibishana siku moja kwa vifo hivi.
 
Mupe......Muruke........
😂😂😃😃😃😁😁😀😅😅😄😄😃
 
Hofu hufanya kazi kupooza, inaweza kukufanya uwe mgonjwa, inaweza kuingilia kati kinga yako dhidi ya maambukizo

Wasiwasi unaweza kukufanya uwe mgonjwa, unaharibu na hudhoofisha kinga yako

HAKUNA faida hata moja kwa wasiwasi au woga.

Uhakika pekee ulionao ni kuwa na wakati mgumu
na kuongeza nafasi ya matukio mabaya unayoogopa .

Wacha tuondoe mwelekeo wetu mbali na woga, mbali na wasiwasi.

Ingawa ni busara katika nyakati hizi kufuata taratibu zilizowekwa na wataalam,

achana na hofu ya COVID, isitawale mawazo yako

Acha kusoma takwimu za wagonjwa . Hazikusaidii kwa njia yoyote.
Hizo takwimu zinaweza kuwa muhimu kwa wataalamu wa magonjwa lakini sio wewe na mimi.
Vifo vya maambukizo vinatokea wakati wowote, Kamwe tusiwe busy na hilo vichwani mwetu,
tunakubali kuwa janga hili tunalo hapa na tunachukua hatua za busara ili kuzuia,
Sasa ni vyema tuwe bize na kile tunachokifanya kila siku ili kuendesha maisha yetu maana kila mmoja anajua ugumu wake.

Nimeamua kuandika ushauri wangu kwenu juu ya ya hili gonjwa la COVID 19, nawaomba tusiwe woga ili tuishi maisha yenye furaha, hakuna wa kuzuia kifo kama MUNGU amepanga, lakini tusiache kufuata taratibu za wataalamu,
Kama mimi huvaa barakoa na kupunguza mwendo wangu mwenyewe, sihudhurii mikusanyiko isiyo ya lazima kwani hili ndio jambo linalosikika kuwa la busara na jambo sahihi la kufanya. Lakini vile vile mawazo yangu hayasumbiliwi tena na habari za janga.

Hofu ni sawa na upumbavu
Wasiwasi ni sawa na upumbavu.

Umejiunga jana kuleta huu utopolo?

IMG_20210718_065201_260.jpg


Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom