ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kwa akili zako club inaweza anzisha mashindano yakawa chini ya CAF?itakapoanza ligi ya klabu 20 afrika ndipo watajua uwezo wa ceo wa simba, Senzo hamna kitu wakija kushituka upotolo watamfukuza kama mbwa
kwa akili zako za utopolo siwezi kukujibuKwa akili zako club inaweza anzisha mashindano yakawa chini ya CAF?
🤣 🤣 🙏 🙏 🙏 ❣️Sawa Simba tumewasikia😬😬 hongereni kwa connection
Mlisha jazwa ujingakwa akili zako za utopolo siwezi kukujibu
Unafikiri sisi ni wajinga kama utopolo wanaoaminishwa Morison ni mchezaji wao wakati yuko Msimbazi , mnadanganywa kuna kesi cas wakati hamna kitu, mnapoteza muda kwenda airport kupokea timu ambayo hata haiwajui, mmejitokeza kuwabeba kina Sarmpong leo mnaona hawafai.Mlisha jazwa ujinga
Kumbe uko Utopoloni? Siku zote nlikuwa najua wewe bonge la mrembo.... maana warembo wote nyumbani kwao MsimbaziMkuu unataka tugombane usiku huu siyo? Unamaanisha mimi ni mbaya(ugly) ndiyo maana nipo timu ya wananchi? Acha hizo pisi kali zote mjini zinapatikana Yanga,Babe wako mwenyewe yupo huku😀
Kwa sasa hivi, hakuna ''sababu za kibiashara'' kwa Simba (au hata Yanga) kuwa na Uwanja wake wa mechi (mfano mkubwa kama wa Mkapa).Mo arena uwanja wa mazoezi
Umepaniki, Uto km uto hamna akiliUpuuzi sasa Kama wanafahamiana itasaidia Nini timu lenyewe hata academy halina sembuse uwanja tu
mboga za wakubwa
Afu ni hii caf champion itakuwajeMpango uliopo CAF sasa ni kutengeneza ligi ya timu 20 bora Afrika na Simba itakuwa miongoni mwa timu hizo.
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu rage hakukosea sasa akishiriki huo mkutano Kuna faida gani wakati timu lite wachezaji wageniUmepaniki, Uto km uto hamna akili
Subiri,usiwe na harakaBaada ya kumfuatilia kwa muda mfupi aliokaa kama CEO wa Simba,nimegundua kuwa huyu Dada ukiachiabali u genius wake,ni mtu mwenye connection sana.
Leo katika mkutano wa CAF nimeona ni mtu anayefahamiana vizuri na Rais mpya wa shirikisho hilo.Ninaona Simba inashambulia kutoka kila idara.Kuanzia kwa mashabiki,wachezaji hadi CEO.
Kwa sasa namuona Senzo kama "Sarpong" tu. Hongera madame CEO.Simba to next level
Simba nguvu moja
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu rage hakukosea sasa akishiriki huo mkutano Kuna faida gani wakati timu lite wachezaji wageni