Acheni dhihaka, Taifa halistawi kwa kuombewa. Taifa linastawi kwa kupanga mikakati na kuitekeleza; kuacha rushwa na ufisadi

Acheni dhihaka, Taifa halistawi kwa kuombewa. Taifa linastawi kwa kupanga mikakati na kuitekeleza; kuacha rushwa na ufisadi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Itokee siku moja Rais aende uwanja wa Taifa ili kukusanya maoni ya Watanzania juu ya mustakabali wa Taifa lao.
Kutwa nzima tujadili ni namna gani umaskini na ufukara ukomeshwe.

Tujadili ni namna gani wizi na ufisadi katika utumishi wa umma ukomeshwe. Tujadili mustakabali wa elimu yetu na afya. Bila kusahau miundombinu na uwekezaji.

Ikiwezekana zoezi kifanyike kwa siku 3 mpaka 5. Watanzania wako tayari hata kwa kiingilio cha sh. Laki moja watu watajaa. Tuache ujinga, eti mtu anakusanya viongozi wa dini na waumini wao wanaombea Taifa.

Huyo mungu gani mnayemwomba ikiwa kila dini wana Mungu wao?

Kama maombi ni bora kwa taifa kuliko kufanya mikakati sahihi basi China wana Mungu bora kuliko Tanzania.
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.


OKOENI TAIFA LENU LEO.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Itokee siku moja Rais aende uwanja wa Taifa ili kukusanya maoni ya Watanzania juu ya mustakabali wa Taifa lao.
Kutwa nzima tujadili ni namna gani umaskini na ufukara ukomeshwe.
Tujadili ni namna gani wizi na ufisadi katika utumishi wa umma ukomeshwe.
Tujadili mustakabali wa elimu yetu na afya. Bila kusahau miundombinu na uwekezaji.
Ikiwezekana zoezi kifanyike kwa siku 3 mpaka 5.
Watanzania wako tayari hata kwa kiingilio cha sh. Laki moja watu watajaa.
Tuache ujinga, eti mtu anakusanya viongozi wa dini na waumini wao wanaombea Taifa.
Huyo mungu gani mnayemwomba ikiwa kila dini wana Mungu wao?
Kama maombi ni bora kwa taifa kuliko kufanya mikakati sahihi basi China wana Mungu bora kuliko Tanzania
Elimu yetu ni nzuri ndio maana wewe ni critical, Melo et al wakaanzisha JF, Paschal Mayalla akawa mwandishi na Wakili Msomi na Mzee Warioba "akatambuliwa" kama Jaji. Kilichobaki ni kuliombea Taifa ili msije mkaitumia elimu vibaya na kutuingiza kwenye machafuko!
 
Itokee siku moja Rais aende uwanja wa Taifa ili kukusanya maoni ya Watanzania juu ya mustakabali wa Taifa lao.
Kutwa nzima tujadili ni namna gani umaskini na ufukara ukomeshwe.
Tujadili ni namna gani wizi na ufisadi katika utumishi wa umma ukomeshwe.
Tujadili mustakabali wa elimu yetu na afya. Bila kusahau miundombinu na uwekezaji.
Ikiwezekana zoezi kifanyike kwa siku 3 mpaka 5.
Watanzania wako tayari hata kwa kiingilio cha sh. Laki moja watu watajaa.
Tuache ujinga, eti mtu anakusanya viongozi wa dini na waumini wao wanaombea Taifa.
Huyo mungu gani mnayemwomba ikiwa kila dini wana Mungu wao?
Kama maombi ni bora kwa taifa kuliko kufanya mikakati sahihi basi China wana Mungu bora kuliko Tanzania
Haya mambo ya dini yamefanya watz tua he kufikiri kabisa. Alafu mie naona mungu wa ukweli anapatikana afghanistan. Mungu wa mataliban ndio wa ukweli maana kasimama bega kwa bega na majamaa kwa miaka 20 mpaka wamemshinda marekani wakati wapuuzi wengine wote duniani wanamuogopa united states of ameica.

All in all watz tuache mambo ya mungu pembeni tupige kazi
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.


OKOENI TAIFA LENU LEO.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
Mungu akubariki kwa huu ukweli
 
Kuacha panya wakiendelea kutafuna ghalani kwetu kisha tunaenda barabarani kuombea ghala letu lijae mazao ni Upumbavu, na anayeongoza hayo maombi anatokea kwenye familia ya panya, we are not serious.
Badala ya kuweka dawa ya panya ghalani 😅😂
Angalau hata ile dawa ya Gundi ingependeza 😀
 
Itokee siku moja Rais aende uwanja wa Taifa ili kukusanya maoni ya Watanzania juu ya mustakabali wa Taifa lao.
Kutwa nzima tujadili ni namna gani umaskini na ufukara ukomeshwe.
Tujadili ni namna gani wizi na ufisadi katika utumishi wa umma ukomeshwe.
Tujadili mustakabali wa elimu yetu na afya. Bila kusahau miundombinu na uwekezaji.
Ikiwezekana zoezi kifanyike kwa siku 3 mpaka 5.
Watanzania wako tayari hata kwa kiingilio cha sh. Laki moja watu watajaa.
Tuache ujinga, eti mtu anakusanya viongozi wa dini na waumini wao wanaombea Taifa.
Huyo mungu gani mnayemwomba ikiwa kila dini wana Mungu wao?
Kama maombi ni bora kwa taifa kuliko kufanya mikakati sahihi basi China wana Mungu bora kuliko Tanzania
Naunga mkono hoja.Makonda anafanya hadaa Sasa.Haiwezekani fedha zote hizo anazotoa kwa wafanyabiashara zisiwe na harufu ya rushwa.
 
Itokee siku moja Rais aende uwanja wa Taifa ili kukusanya maoni ya Watanzania juu ya mustakabali wa Taifa lao.
Kutwa nzima tujadili ni namna gani umaskini na ufukara ukomeshwe.

Tujadili ni namna gani wizi na ufisadi katika utumishi wa umma ukomeshwe. Tujadili mustakabali wa elimu yetu na afya. Bila kusahau miundombinu na uwekezaji.

Ikiwezekana zoezi kifanyike kwa siku 3 mpaka 5. Watanzania wako tayari hata kwa kiingilio cha sh. Laki moja watu watajaa. Tuache ujinga, eti mtu anakusanya viongozi wa dini na waumini wao wanaombea Taifa.

Huyo mungu gani mnayemwomba ikiwa kila dini wana Mungu wao?

Kama maombi ni bora kwa taifa kuliko kufanya mikakati sahihi basi China wana Mungu bora kuliko Tanzania.
Wanaofanya hayo mambo ni matapeli wa kisiasa wanaojua udhaifu wa Watanzania. Hivyo wanatumia udhaifu huo kuwapa watanzania matumaini hewa.

Kama hayo maombi yao yanasaidia waombe barabara zote nchini ziwe na lami na nyumba zote za mabanda ya mbwa ziwe mabungalow, nchi kote watu wapate maji na umeme. Tuone kama huyo mungu wao ataweza
 
Wanaofanya hayo mambo ni matapeli wa kisiasa wanaojua udhaifu wa Watanzania. Hivyo wanatumia udhaifu huo kuwapa watanzania matumaini hewa.

Kama hayo maombi yao yanasaidia waombe barabara zote nchini ziwe na lami na nyumba zote za mabanda ya mbwa ziwe mabungalow, nchi kote watu wapate maji na umeme. Tuone kama huyo mungu wao ataweza
Thubutu
 
Back
Top Bottom