Acheni kuchukulia serious, reports za CAG ni kama comedy shows, vichekesho 100%

Acheni kuchukulia serious, reports za CAG ni kama comedy shows, vichekesho 100%

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Ni kama routine tu ya kibaolojia kwamba itabidi uende haja ndogo na kubwa ili mwili uendelee ku operate, ni kama routine kwamba itabidi ule ili u survive.

Ndivyo ilivyo reports za CAG kwa Tanganyika na Zanzibar, pesa zinapigwa kwelikweli, reports zinasomwa kila mwaka upigaji unaongezeka nobody cares watu wana act kama wamekasirika na upigaji huo after 2 days yote yanasahaulika inakuwa business as usual.

Mmeona hata Zanzibar Rais wao analalamika anawajua hadi walioiba, lakini analalama hajui la kufanya huku Tanganyika ndo usiseme majizi yanatamba, reports ya CAG ikitoka wanacheka tu.

Endeleeni kulipa tozo ndugu zangu kuweni wazalendo, kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake. Imagine TRA wanakuambia hawajui ile 1000 ya tozo kwenye luku inaenda wapi?

Singida Big Stars, lexus new models, mafuta full tanks gari hamna kuzimwa? furnitures za uturuki, linchi lina laana hili kama siyo limelogwa.

Usirudie kuchukulia serious reports za CAG sikiliza angalia ila in your mind fanya kama unaangalia comedy ya eddie murphy au Kevin Hart.

Majizi yanalindana hatari
 
CAG naye anazengua , naye analamba asali. Angekuwa anakagua hakuna ofisi au taasisi ya serikali itapata hati Safi.
 
Ile ni ngonjera na sio ripoti, tena mwaka huu ndo watazipiga maradufu
 
Wanaoisababishia serikali hasara wanatakiwa wafilisiwe na kufungwa
 
Singida Big Stars, lexus new models, mafuta full tanks gari hamna kuzimwa? furnitures za uturuki, linchi lina laana hili kama siyo limelogwa
pachah1 (1).png

Gold!🤣😆
 
Ni kama routine tu ya kibaolojia kwamba itabidi uende haja ndogo na kubwa ili mwili uendelee ku operate, ni kama routine kwamba itabidi ule ili u survive.

Ndivyo ilivyo reports za CAG kwa Tanganyika na Zanzibar, pesa zinapigwa kwelikweli, reports zinasomwa kila mwaka upigaji unaongezeka nobody cares watu wana act kama wamekasirika na upigaji huo after 2 days yote yanasahaulika inakuwa business as usual.

Mmeona hata Zanzibar Rais wao analalamika anawajua hadi walioiba, lakini analalama hajui la kufanya huku Tanganyika ndo usiseme majizi yanatamba, reports ya CAG ikitoka wanacheka tu.

Endeleeni kulipa tozo ndugu zangu kuweni wazalendo, kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake. Imagine TRA wanakuambia hawajui ile 1000 ya tozo kwenye luku inaenda wapi?

Singida Big Stars, lexus new models, mafuta full tanks gari hamna kuzimwa? furnitures za uturuki, linchi lina laana hili kama siyo limelogwa.

Usirudie kuchukulia serious reports za CAG sikiliza angalia ila in your mind fanya kama unaangalia comedy ya eddie murphy au Kevin Hart.

Majizi yanalindana hatari


Utamaduni wa kulalamika. Sasa kususiana ni ujinga tuna msusia nani? Cha maana ni kushinikiza wale mnao wachagua kufuatilia na sio kulalama kila kitu
 
Mkuu mtoa mada CAG Report IPO sawa kwa percentage Fulani SEMA execution ndo shida
 
Back
Top Bottom