Acheni kujidanganya, hakuna mke anaolewa bure. Rebeka aliolewa na Isaka kwa mahari ya vyombo vya fedha, dhahabu na mavazi ya thamani!

Acheni kujidanganya, hakuna mke anaolewa bure. Rebeka aliolewa na Isaka kwa mahari ya vyombo vya fedha, dhahabu na mavazi ya thamani!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Unaanza kutoa mahari ya mke, kisha unamalizia kutoa zawadi kwa mama, kaka na ndugu wote.

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia.

Mwanzo 24:53: Kisha huyo mtumishi akatoa vyombo vya fedha, na vyombo vya dhahabu, na mavazi, akampa Rebeka; na vitu vya thamani akampa nduguye na mamaye pia.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Inatoa mahari ya mke
Unatoa zawadi kwa mama, kaka na ndugu wote.

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia.

Mwanzo 24:53: Kisha huyo mtumishi akatoa vyombo vya fedha, na vyombo vya dhahabu, na mavazi, akampa Rebeka; na vitu vya thamani akampa nduguye na mamaye pia.
Kuna mtu amegoma kutoa mahari?Atakwama.Aoe mfugo.
 
Back
Top Bottom