Acheni kujidanganya, hakuna mke anaolewa bure. Rebeka aliolewa na Isaka kwa mahari ya vyombo vya fedha, dhahabu na mavazi ya thamani!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Unaanza kutoa mahari ya mke, kisha unamalizia kutoa zawadi kwa mama, kaka na ndugu wote.

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia.

Mwanzo 24:53: Kisha huyo mtumishi akatoa vyombo vya fedha, na vyombo vya dhahabu, na mavazi, akampa Rebeka; na vitu vya thamani akampa nduguye na mamaye pia.
 
Ujumbe uwafikie wapenda vya bure
 
Kuna mtu amegoma kutoa mahari?Atakwama.Aoe mfugo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…