Yani unakuta wanasimba wasiojua mpira wanaponda kiwango cha Mzungu Kuna cha kujiuliza hapa kabla ya kumshambulia kuwa hajui
01/ Mchezaji anaingia wakati team iko katika Hali ya kuelemewa kimchezo hivyo kufanya mipira isimfikie kwa wakati
02/ Team inakua imepotea haina utulivu hivyo kufanya kuwa na low performance kwa viungo wa kati ambao wanatengeneza nafasi kwa Foward wa team