Mungu Mweusi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 1,474
- 1,080
Inachukiza sana mtu pahala pa kuweka 'r' yeye anaweka 'l' na pakuweka 'l' anaweka 'r'Aisee huwa sipendi kukaa kwenye daladala na mdada au mmama akiwa mabega wazi. Unakuta anakugusa kwenye bega au shati huku anatoka jasho kwapani kama chemchem. Badirikeni
Usichanganye mambo kuna mabadiriko na mabadiliko ni vitu viwili tofauti, Kuna kutoka hali moja na kwenda nyingine kwa kupoteza origin state, Na kuna kutoka hali moja kwenda nyingine bila kubadili state, kuna haya maneno Change and TransformationFaizafoxy yuko wapi siku hizi, watu wanaharibu lugha yetu kila mara
hapo chacha!Mbaya zaidi makwapa yenyewe ni KICHAKA KAMA CHA MABWEPANDE....KUNYOA ZIRO...
Acha utetezi usio na mantiki. Hatuna 'Mabadiriko' kwenye lugha ya Kiswahili kwa namna yoyote ile.Usichanganye mambo kuna mabadiriko na mabadiliko ni vitu viwili tofauti, Kuna kutoka hali moja na kwenda nyingine kwa kupoteza origin state, Na kuna kutoka hali moja kwenda nyingine bila kubadili state, kuna haya maneno Change and Transformation
Patongo huyo hahahaAcha utetezi usio na mantiki. Hatuna 'Mabadiriko' kwenye lugha ya Kiswahili kwa namna yoyote ile.